Nawezaje kusonga mbele

Alnadaby

JF-Expert Member
Sep 28, 2006
505
41
Napenda kujiendeleza kielimu,ingawa ni mtu mzima wa zaidi ya miaka 50( Elimu haina mwisho)

My intention is to pursue a bachelor's degree in Commerce.I am a working man and for the last 20 years have been holding managerial posts in two successiful private companies.In other ways i know how to run a business and make it successiful practically having acquired a long time experience.

I hold The East African Certificate of Education(O) with credits in Commerce,Geography, English and Kiswahili.(1970)

Wanachama.nawaomba mnipe mwanga..maana nilizaliwa katika familia ya kimaskini nikawa nahangaika weee....hata nikasahau kujiendeleza kwa kuwa nilikuwa busy sana na kuendeleza biashara na kuwatajirisha wengine.

Je kuna online accredited colleges hapa Tanzania zinazoweza kunikubali kusoma hiyo shahada.Je lazima nifanye mtihani wa Kidato cha IV au kuna njia gani nifanye ili nisonge mbele?

Nitashukuru kwa majibu yenu.
 
Samahani wakuu,nina maana kufanya mtihani wa Form IV siyo wa Form IV maana huo tayari.Kama kuna njia ya mkato naitaka kama vile kufanya qualifying test.
 
Samahani wakuu,nina maana kufanya mtihani wa Form IV siyo wa Form IV maana huo tayari.Kama kuna njia ya mkato naitaka kama vile kufanya qualifying test.

Nimechemsha tena na haraka zangu.Nina maana nifanye Advanced Level?
 
Napenda kujiendeleza kielimu,ingawa ni mtu mzima wa zaidi ya miaka 50( Elimu haina mwisho)

My intention is to pursue a bachelor's degree in Commerce.I am a working man and for the last 20 years have been holding managerial posts in two successiful private companies.In other ways i know how to run a business and make it successiful practically having acquired a long time experience.

I hold The East African Certificate of Education(O) with credits in Commerce,Geography, English and Kiswahili.(1970)

Wanachama.nawaomba mnipe mwanga..maana nilizaliwa katika familia ya kimaskini nikawa nahangaika weee....hata nikasahau kujiendeleza kwa kuwa nilikuwa busy sana na kuendeleza biashara na kuwatajirisha wengine.

Je kuna online accredited colleges hapa Tanzania zinazoweza kunikubali kusoma hiyo shahada.Je lazima nifanye mtihani wa Kidato cha IV au kuna njia gani nifanye ili nisonge mbele?

Nitashukuru kwa majibu yenu.

mwanangu sikilizia tu, if you are that experienced in business field then you are far better off than kukaa darasani at that age!! Be your own boss, start your own business,take alternative courses such as entrepreneurship courses,IT courses zinazolink na biashara ya kisasa, na ukitaka ufanikiwe zaidi somesha watoto wako ili biashara utakayoanzisha waje wakusaidie as family business.

I know you'll make it, trust me! kuwa na degree certificate hakukupi guarantee ya better life, what is in your head is what matters!! Your experience counts a lot
 
mwanangu sikilizia tu, if you are that experienced in business field then you are far better off than kukaa darasani at that age!! Be your own boss, start your own business,take alternative courses such as entrepreneurship courses,IT courses zinazolink na biashara ya kisasa, na ukitaka ufanikiwe zaidi somesha watoto wako ili biashara utakayoanzisha waje wakusaidie as family business.

I know you'll make it, trust me! kuwa na degree certificate hakukupi guarantee ya better life, what is in your head is what matters!! Your experience counts a lot

Samahani kwa kudandia gari kwa mbele,
...........but i would also like to know about IT stuffs...is there any online school hapa Bongo ambayo naweza kusoma degree inayohusiana na mambo ya IT? kama hamna je, hana vyuo ama Taasisi zinazotoa masomo ya jioni?
Natanguliza shukrani
 
mwanangu sikilizia tu, if you are that experienced in business field then you are far better off than kukaa darasani at that age!! Be your own boss, start your own business,take alternative courses such as entrepreneurship courses,IT courses zinazolink na biashara ya kisasa, na ukitaka ufanikiwe zaidi somesha watoto wako ili biashara utakayoanzisha waje wakusaidie as family business.

I know you'll make it, trust me! kuwa na degree certificate hakukupi guarantee ya better life, what is in your head is what matters!! Your experience counts a lot

Thank you Killumati,but it is not my desire to use the degree certificate for material gain.I feel I have to go further than what I have acquired.
I have a plan in place for starting my own business,and it is in a final stage.I also have children who are studying in prominent schools and I believe they will prosper.

This is the urge to forge forward because I really need to study and join the educated elite and for my prestige.
 
Ndugu yangu kwanza hongera kwa kuwa na hilo wazo la kwenda shule kwa umri wako.

Kama jamaa alivyoshauri your experience matters. BUT experience can not subsitute education ya darasani. Ukienda darasani bwana utapata mengi hata ile ya kuwa kama mtoto mdogo unakimbizwa kimbizwa...its experience tosha.

Labda uangalie vyuo hapa bongo (sijui wewe uko wapi) uanze na CBE maana mimi nina jamaa yangu alipata diploma pale bila form six. kama una form four na hiyo certificate nyingine..aaahh mkuu wanakupa admission ya diploma. Na kwa kuwa una experience ya kutosha then itakuwa rahisi kucompare nadharia ya darasani na real world. Na hii unaweza kuifanya bila kulipa mapesa mengi (CBE inaheshimika maana ni chuo cha umma). baada ya hapo unaweza kuomba Open, UD, Dodoma nk! Its possible cha muhimu wewe ujiamini kama unaweza. Period.

Na I can assure you, ukienda darasani ukapata hata hiyo diploma, your life and business will never be the same again.

Wewe jitahidi tuu, na kama vipi nenda CBE ukamuone mkuu wa chuo (ni mtu mzima mwenzio) mpe mawazo yako, muonyeshe vyeti vyako...Iam telling you atakupa ushauri mzuri zaidi ya huu wa kwangu. Na shule utapewa (kwa qualifications zako)

Mambo ya IT mi sio mzoefu, alkini kwa umri wako IT unayohitaji ni ya kusoma emails na kusurf ambayo unayo tayari kama unaingia Jambo Forum, ka hiyo..hiyo haikufai sana. IT ni muhimu kama unataka kutafutia kazi of which wewe huhitaji.

Kila lakheri ndugu yangu, na nakutakia mafanikio katika jitihada zako.
 
Napenda kujiendeleza kielimu,ingawa ni mtu mzima wa zaidi ya miaka 50( Elimu haina mwisho)

My intention is to pursue a bachelor's degree in Commerce.I am a working man and for the last 20 years have been holding managerial posts in two successiful private companies.In other ways i know how to run a business and make it successiful practically having acquired a long time experience.

I hold The East African Certificate of Education(O) with credits in Commerce,Geography, English and Kiswahili.(1970)

Wanachama.nawaomba mnipe mwanga..maana nilizaliwa katika familia ya kimaskini nikawa nahangaika weee....hata nikasahau kujiendeleza kwa kuwa nilikuwa busy sana na kuendeleza biashara na kuwatajirisha wengine.

Je kuna online accredited colleges hapa Tanzania zinazoweza kunikubali kusoma hiyo shahada.Je lazima nifanye mtihani wa Kidato cha IV au kuna njia gani nifanye ili nisonge mbele?

Nitashukuru kwa majibu yenu.

Mkuu Alnadaby heshima yako.
Nadhani system ya Tanzania imewekwa kwamba ni lazima umalize A-level if you want to pursue a bachelor degree. If you decide to use your ordinary Level certificate then the process is too long. I advice you to find on-line institute outside Tanzania ambazo zina accept form four. Kwanza ni quick.
 
Back
Top Bottom