Kwa wale mlioweza kusafirisha vitu kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine naomba ushauri mliwezaje?
Kama kuna kampuni unaijua au inajishugulisha na kusafirisha vitu(furniture kitanda,sofa,kabati show case n.k) vya ndani kwa bei nafuu kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine tuwasiliane njoo inbox tuyajenge.
Nataka kutoa vitu dodoma kwenda iringa mjini.
Kama kuna kampuni unaijua au inajishugulisha na kusafirisha vitu(furniture kitanda,sofa,kabati show case n.k) vya ndani kwa bei nafuu kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine tuwasiliane njoo inbox tuyajenge.
Nataka kutoa vitu dodoma kwenda iringa mjini.