KIBESENI
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 339
- 268
Mimi sielewi, mnisaidie. Ivi ajari ya ndege ikitokea, hakuna hata uwezekano wa mtu kujitosa huko angani akaluka na palachuti, au ikitokea basi nikusubili kifo tu, au mimi ndo sijui. Maana haiingi akilini watj 150 kufa kirahisi tu. Kwa usafili wa gari nisawa, maana na inatokea ghafla. Ndege lonapoanza kupolomoka kwenda chini hakunaga kujiokoa. Naomba kueleweshwwa maana hii ajari ya juzi imeniumiza sana.
SIJAWAHI KUPANDA NDEGE LAKINI. 😴😴😴
SIJAWAHI KUPANDA NDEGE LAKINI. 😴😴😴