Mantheman6
Senior Member
- May 30, 2020
- 165
- 140
Habari zenu ndugu wana JF poleni na majukumu ya kila siku
Naombeni kufahamishwa ni njia gani naweza kutumia ili nipate visa ya masomo kwa nchi kama Canada, USA, China au Japan maana nimejaribu kufuatilia kwenye tovuti za vyuo inaonekana ili uweze kupata visa ya masomo basi ni lazima uwe na documents zote zakielimu kama o- level certificate na cheti cha diploma ndipo uapply na baada ya chuo kuona unakidhi vigezo ndipo watume taarifa kwenye balozi husika ili uweze kupatiwa
Sasa mimi sina cheti cha diploma ila nina cha form four na nimepanga kwenda kutafuta maisha nje ya nchi je ni njia gani nitumie?
Naombeni kufahamishwa ni njia gani naweza kutumia ili nipate visa ya masomo kwa nchi kama Canada, USA, China au Japan maana nimejaribu kufuatilia kwenye tovuti za vyuo inaonekana ili uweze kupata visa ya masomo basi ni lazima uwe na documents zote zakielimu kama o- level certificate na cheti cha diploma ndipo uapply na baada ya chuo kuona unakidhi vigezo ndipo watume taarifa kwenye balozi husika ili uweze kupatiwa
Sasa mimi sina cheti cha diploma ila nina cha form four na nimepanga kwenda kutafuta maisha nje ya nchi je ni njia gani nitumie?