Nawezaje kupata views nyingi pamoja na subscribers wengi kwenye account yangu ya You tube

monde arabe

JF-Expert Member
Oct 22, 2017
8,486
13,017
Habari za muda huu ndugu wanajukwaa

Rejeeni mada tajwa hapo juu.Ninayo account You tube,naombeni msaada wenu nifanyeje ili niweze kupata views nyingi pamoja na subscribers wengi (kama mnavyofahamu You tube huanza kumlipa Client wao pindi anapofikisha views 10,000,subscribers 1,000 pamoja na watching hours 4,000)

Naombeni msaada ndugu zangu,nielekezeni namna gani naweza kutoboa maisha kwa kutumia You tube account

NB;kwa hivi sasa ninazo views 307 na subscribers 23.Nilifungua account wiki moja iliyopita

Asanteni sana!
 
Habari, Monde Arabe

Unaweza kutumia trick ya YouTube SEO kwa kuhakikisha unaweka tags zenye mlengo wa video yako za kutosha. Hii itasaidia video yako kupanda rank kipindi mtu atapotafuta maudhui ya namna hiyo kupitia Google na YouTube.

Unaweza kuweka Tangazo kupitia YouTube, hii itasaidia video na akaunti yako kuwafakia watazamaji zaidi.

Hakikisha unakuwa active sio unaitelekeza akaunti yako. Hakikisha post zako zinakuwa na mlolongo kama ni muziki nenda na muziki sio kuchanganya na how it's made. Consistency ni muhimu.

Boresha video zako, sauti na hakikisha unazo nyumba ndogo Instagram, Facebook, Twitter kuwezesha kuweka updates za video mpya zitakazosomba wafuasi huko na kutupa YouTube.
 
Mkuu natamani kufungua na mm akaunti, unaweza nieleza kwa ufupi jinsi ya kuisajili TCRA na Gharama zake au YouTube channel hazisajiliwi
 
Pamoja na ushauri wote uliopewa hapa kuwa na subira. Itakuchukua muda mrefu kuwa na brand yako na kueleweka vizuri. Cha muhimu tu usikate tamaa na uwe consistent sana. Kila wiki weka video angalau mbili na zenye kuzingatia lengo lako lililokufanya uanzishe hiyo channel. Na usiwe na tabia ya kuiba video za watu na kwenda kuziweka huko kwako ukijifanya kuwa ni zako. Ukija kufanya kosa la kuiba video za watu ambazo zina hati miliki usije kushangaa channel yako inafungiwa.

Kama kweli umeamua basi ichukulie hii kama ni kazi na jipe muda hata wa miaka mitatu kabisa kuweza kuanza matunda.
 
Kiukweli kumiliki YouTube channel itakayokupa faida inabidi ufanye kazi kubwa ya ziada.

1. Weka content zinazovutia au ambazo zipo ON TRENDING, jitahidi kukwepa copyright issues. Tengeneza vitu vyako, vitu ambavyo huwa vina-hit YouTube miaka nenda rudi ni kama; Habari (hapa utahitaji kuwa na taaluma ya uandishi wa habari, na lazima ukasajili channel yako kama online TV) Tutorials pia ni kitu kizuri kufanya YouTube, pia kufanya reviews za vitu mbalimbali kama simu n.k.

2. Kwa wiki upload angalau video 3, zenye urefu wa dk. 3-5. Mimi kipindi naanza sikufanya haya ila wengi waliofanikiwa YouTube wanashauri hili.

3. UVUMILIVU, UVUMILIVU, UVUMILIVU. Kazi ya kuwa YouTuber mwenye mafanikio bongo sio rahisi kama tunavyoona kwa nchi za wenzetu. Watanzania wengi hawatakupa support sio kwamba hawataki ila ni juu ya elimu ya YouTube, sawa unaweza kufanya monetization ukifikia vigezo ila hayo matangazo watayaruka na utapasa kiasi kidogo sana cha pesa. Subscribers hawana shida, shida ni kupata views. Unaweza ukapata subscribers ambao wengi hawapo active kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo hali ya kiuchumi. Utaishia kuweka video inapata views 100 huku una subscribers 1000.

Mimi ni YouTuber nina channel niliifungua 2016 mpaka leo ina jumla ya views 180K+ na subscribers 1.4K video yenye views nyingi ni ya kwanza kabisa kuiweka YouTube ina views 150K+ zingine zote ni views 1000, mara 500 ndo hivyo, nilikuwa nafanya video editing na graphics design kwenye video mwenyewe. Sasa hivi nimebaki kufanya part-time job yangu kama graphic designer huku nikiendelea na masomo. YouTube nimebaki kufanya kama hobbie, yani nafanya kwakuwa napenda huku channel ikiendelea kukua taratibu. Siku ikifika nikikidhi vigezo nitarudi kuifanya serious.

Sijakula hata mia ya YouTube ndani ya miaka yote hiyo, kipindi naifungua sheria zilikuwa rahisi na nilifanikiwa kufanya monetization, kipindi hicho ningejua ningekomaa sana niliishia kupata USD 8 tu amabayo siwezi kuitoa, mpaka sheria zimebadilika sasa hivi nasubiri 4000 watched hours ili niweze kufanya monetization tena kwa channel ndogo kama yangu itanichukua muda sana kufikia kupata chochote kitu.

Kama una content nzuri mkuu jaribu kwa nafasi yako, kama unahisi content zako zinastahili kufika mbali kabisa fanya na promotion kabisa kwenye social media. YouTube ukiwa na wafuatiliaji pesa ipo sio tu kutoka YouTube, unaweza pia kupata matangazo kutoka kampuni mbalimbali.
 
Haina haja ya kuangaika sana, kama unaona video zako za YouTube zitapendwa na kuweza kukuongezea kipato kwa Nini usitengeneze account yako ya YouTube Android app? Kisha utaweka matangazo ya Admob kupitia app yako. Naweza kukusaidia kukutengenezea Android app itakayo display YouTube channel yako kwa kutumia YouTube API KEY kwa 50K tu.
Fafanua
 
Kiukweli kumiliki YouTube channel itakayokupa faida inabidi ufanye kazi kubwa ya ziada.

1. Weka content zinazovutia au ambazo zipo ON TRENDING, jitahidi kukwepa copyright issues. Tengeneza vitu vyako, vitu ambavyo huwa vina-hit YouTube miaka nenda rudi ni kama; Habari (hapa utahitaji kuwa na taaluma ya uandishi wa habari, na lazima ukasajili channel yako kama online TV) Tutorials pia ni kitu kizuri kufanya YouTube, pia kufanya reviews za vitu mbalimbali kama simu n.k.

2. Kwa wiki upload angalau video 3, zenye urefu wa dk. 3-5. Mimi kipindi naanza sikufanya haya ila wengi waliofanikiwa YouTube wanashauri hili.

3. UVUMILIVU, UVUMILIVU, UVUMILIVU. Kazi ya kuwa YouTuber mwenye mafanikio bongo sio rahisi kama tunavyoona kwa nchi za wenzetu. Watanzania wengi hawatakupa support sio kwamba hawataki ila ni juu ya elimu ya YouTube, sawa unaweza kufanya monetization ukifikia vigezo ila hayo matangazo watayaruka na utapasa kiasi kidogo sana cha pesa. Subscribers hawana shida, shida ni kupata views. Unaweza ukapata subscribers ambao wengi hawapo active kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo hali ya kiuchumi. Utaishia kuweka video inapata views 100 huku una subscribers 1000.

Mimi ni YouTuber nina channel niliifungua 2016 mpaka leo ina jumla ya views 180K+ na subscribers 1.4K video yenye views nyingi ni ya kwanza kabisa kuiweka YouTube ina views 150K+ zingine zote ni views 1000, mara 500 ndo hivyo, nilikuwa nafanya video editing na graphics design kwenye video mwenyewe. Sasa hivi nimebaki kufanya part-time job yangu kama graphic designer huku nikiendelea na masomo. YouTube nimebaki kufanya kama hobbie, yani nafanya kwakuwa napenda huku channel ikiendelea kukua taratibu. Siku ikifika nikikidhi vigezo nitarudi kuifanya serious.

Sijakula hata mia ya YouTube ndani ya miaka yote hiyo, kipindi naifungua sheria zilikuwa rahisi na nilifanikiwa kufanya monetization, kipindi hicho ningejua ningekomaa sana niliishia kupata USD 8 tu amabayo siwezi kuitoa, mpaka sheria zimebadilika sasa hivi nasubiri 4000 watched hours ili niweze kufanya monetization tena kwa channel ndogo kama yangu itanichukua muda sana kufikia kupata chochote kitu.

Kama una content nzuri mkuu jaribu kwa nafasi yako, kama unahisi content zako zinastahili kufika mbali kabisa fanya na promotion kabisa kwenye social media. YouTube ukiwa na wafuatiliaji pesa ipo sio tu kutoka YouTube, unaweza pia kupata matangazo kutoka kampuni mbalimbali.
Unawezaje kutoa pesa kutoka YouTube kupata cash
 
Kiukweli kumiliki YouTube channel itakayokupa faida inabidi ufanye kazi kubwa ya ziada.

1. Weka content zinazovutia au ambazo zipo ON TRENDING, jitahidi kukwepa copyright issues. Tengeneza vitu vyako, vitu ambavyo huwa vina-hit YouTube miaka nenda rudi ni kama; Habari (hapa utahitaji kuwa na taaluma ya uandishi wa habari, na lazima ukasajili channel yako kama online TV) Tutorials pia ni kitu kizuri kufanya YouTube, pia kufanya reviews za vitu mbalimbali kama simu n.k.

2. Kwa wiki upload angalau video 3, zenye urefu wa dk. 3-5. Mimi kipindi naanza sikufanya haya ila wengi waliofanikiwa YouTube wanashauri hili.

3. UVUMILIVU, UVUMILIVU, UVUMILIVU. Kazi ya kuwa YouTuber mwenye mafanikio bongo sio rahisi kama tunavyoona kwa nchi za wenzetu. Watanzania wengi hawatakupa support sio kwamba hawataki ila ni juu ya elimu ya YouTube, sawa unaweza kufanya monetization ukifikia vigezo ila hayo matangazo watayaruka na utapasa kiasi kidogo sana cha pesa. Subscribers hawana shida, shida ni kupata views. Unaweza ukapata subscribers ambao wengi hawapo active kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo hali ya kiuchumi. Utaishia kuweka video inapata views 100 huku una subscribers 1000.

Mimi ni YouTuber nina channel niliifungua 2016 mpaka leo ina jumla ya views 180K+ na subscribers 1.4K video yenye views nyingi ni ya kwanza kabisa kuiweka YouTube ina views 150K+ zingine zote ni views 1000, mara 500 ndo hivyo, nilikuwa nafanya video editing na graphics design kwenye video mwenyewe. Sasa hivi nimebaki kufanya part-time job yangu kama graphic designer huku nikiendelea na masomo. YouTube nimebaki kufanya kama hobbie, yani nafanya kwakuwa napenda huku channel ikiendelea kukua taratibu. Siku ikifika nikikidhi vigezo nitarudi kuifanya serious.

Sijakula hata mia ya YouTube ndani ya miaka yote hiyo, kipindi naifungua sheria zilikuwa rahisi na nilifanikiwa kufanya monetization, kipindi hicho ningejua ningekomaa sana niliishia kupata USD 8 tu amabayo siwezi kuitoa, mpaka sheria zimebadilika sasa hivi nasubiri 4000 watched hours ili niweze kufanya monetization tena kwa channel ndogo kama yangu itanichukua muda sana kufikia kupata chochote kitu.

Kama una content nzuri mkuu jaribu kwa nafasi yako, kama unahisi content zako zinastahili kufika mbali kabisa fanya na promotion kabisa kwenye social media. YouTube ukiwa na wafuatiliaji pesa ipo sio tu kutoka YouTube, unaweza pia kupata matangazo kutoka kampuni mbalimbali.

Kiongozi safi sana aisee, naomba uniruhusu nikuone chief...!
 
Habari za muda huu ndugu wanajukwaa

Rejeeni mada tajwa hapo juu.Ninayo account You tube,naombeni msaada wenu nifanyeje ili niweze kupata views nyingi pamoja na subscribers wengi (kama mnavyofahamu You tube huanza kumlipa Client wao pindi anapofikisha views 10,000,subscribers 1,000 pamoja na watching hours 4,000)

Naombeni msaada ndugu zangu,nielekezeni namna gani naweza kutoboa maisha kwa kutumia You tube account

NB;kwa hivi sasa ninazo views 307 na subscribers 23.Nilifungua account wiki moja iliyopita

Asanteni sana!
Nicheki watsup utafurahi mwenyewe 0699291325
 
Back
Top Bottom