Nawezaje kupata UNLIMITED INTERNET (Bando) kwa ajili ya matumizi ya Ofisi

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385
Naomba kujua jinsi ya kupata Unlimited Bando kwa matumizi ya Ofisini, kutoka kwenye kampuni za simu iwe Tigo, TTCL, Voda, Airtel, Halotel etc ila iwe na kasi ya 4G au 3G.

Bando liwe ni la mwezi au wiki na naomba na gharama zake kama unafahamu kampuni zinazotoa huduma hii....

THE SNIPER.
 
pia kama upo maeneo ja mjini, kinondoni, masaki, etc angalia broadband za zuku na maisha broadband around laki 1 unlimited 1mbps.

zuku washaanza kutoa Broadband Tanzania?

Mbona kicheki site yao hawajasema ni laki 1 moja wala hawajataja kama ni 1Mbps japo installation fee inaonesha ni 99,000/= ambayo ni one time fee.
Unakua umebakiza kuwa unalipia package ya channel kila mwezi

Fiber Packages - Zuku
 
zuku washaanza kutoa Broadband Tanzania?

Mbona kicheki site yao hawajasema ni laki 1 moja wala hawajataja kama ni 1Mbps japo installation fee inaonesha ni 99,000/= ambayo ni one time fee.
Unakua umebakiza kuwa unalipia package ya channel kila mwezi

Fiber Packages - Zuku
umeeka hio link namimi nimeingia naona wamebadili au siioni vizuri kwa simu, kifurushi cha zuku kilikuwa 89,000 kwa mwezi waliandika. ngoja nitaangalia vizuri baadae kama kuna link tofauti.

na hio 1mbps nimeipata kwenye hio mbps walioaandika bila namba
 
Masaki-Kisarawe?
hapana masaki lile eneo la ardhi ambalo limeingia baharini, wanapokaa wenye hela zao

data=c1KhiY3rKEd9Ev0MxVILDfLZsc5vyuUM5wvn8E9tz_YpC2NDnGr9pH1Cd_QQVlygy6ISfjNRINIF_gBkKQyA2HMOiAF3OwGDPci_M8QG-j2mtNEmgocO9DDinr3pX7iffetSylp1LY7iSjRzkwm2V4i8fi4Do5HV1iQERVGpUpPr2TI9ny73R16hWdfe_qmqXS-t4MptQ3ewyIGV7rILXPPchFlm6t8vUtGKuq1enDHCKNrzPOD2CYUSurwebeUDJNu3A7KZMdOUVyisG_Sszg4hs52o2RQbrHaJ64qpKpUqRquUExxcBvLACGjvNxW2SnegOWFEPQPoTSDNsv9IxHJ-KvZPFvldIOMW9oHS4k3rC-BGXSej96wFttK69VvJixV6TUpFJRcM3Iu_DVlS-ty-brqAIwU8nItSydqz8hwZZ-gQNhIiUsD8un8vvsVotazuSIsAnzRP4LzDGkEQNfemp5Q4l4lwzEplEl13It1wkli-vpk2jfmoBg9gabxJyzAAYlvt4vGvRh3FR0uxWXBd4gHucEX1gbxaaVBKJWVCxx75kaaPlxHxPxLoFtcHWjQMOlrHT2v8qDj4U6r1T5BeCSES7aGq-eZuo4Ao5vxMbuqxNoDskKflPZ6uWq41UAXCsgmWIGwQe8993oM40BpPlQ7xmupqhvs5HXvAFT_xsl8LAXS8mlmTNXiLHgWEjLvh-Yh0LqwaraA3r_j5IPjQDSB_LGhTe2ZU85_3dcypx4urSVZb9tf5srQvD78a2y9LycgbwiIfI6Xi5AckyVz1Rz8m4dcNVTANKF04vsLHPpw87rExUC1ad3EvVQBIP9LW-PdddGJEwHS2WUT0Plxz2po6v7QJwTcSNqNX6xIUIFU17qkrMvLMN9kkPxvP9LSVSZq2CINSgIe94XS4e0stkGWjdavAsKZQw3T5DCd7CHcbKyBAHJKMrJQ4XcK8CorA5lXbCLLl4Pqa95TyJ8XCJ47L3oStb0kH6I6ehdz86sKT7v2keceZ0j_gM7NXhbgc7BOto60SbgLJCyuHklxoMibdWegfF_hT-9w6laAxlrasaVcPuK8B4ulqtF4pOBiF2j1XcqZsqJia3KyCXELEplSyg5GtvDJkfso5hg
 
Back
Top Bottom