Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Naomba kujua jinsi ya kupata Unlimited Bando kwa matumizi ya Ofisini, kutoka kwenye kampuni za simu iwe Tigo, TTCL, Voda, Airtel, Halotel etc ila iwe na kasi ya 4G au 3G.
Bando liwe ni la mwezi au wiki na naomba na gharama zake kama unafahamu kampuni zinazotoa huduma hii....
THE SNIPER.
Bando liwe ni la mwezi au wiki na naomba na gharama zake kama unafahamu kampuni zinazotoa huduma hii....
THE SNIPER.