Hapo nimekupata Mkuu, Asante sana.Fika TRA wewe na na wenzio watatu mkiwa na vitambulisho vya KuRa au Nida na TIN namba
Baada ya hapo mtajaza form za kuptiwa TIN.
Bila kusahau kuwa na mkataba wa ofisi, cheti cha usajili, katiba iliyosajiliwa etc.
Labda inaweza kuchukua muda gani hadi kupata certificate? Baada ya kujaza fomu na kufuata taratibu zoteFika TRA wewe na na wenzio watatu mkiwa na vitambulisho vya KuRa au Nida na TIN namba
Baada ya hapo mtajaza form za kuptiwa TIN.
Bila kusahau kuwa na mkataba wa ofisi, cheti cha usajili, katiba iliyosajiliwa etc.
Uache kukwama sasa, yaani tangu uombe muongozo mwezi uliopita ndio unarudi mwezi huuNimeuona Mkuu.
Kama unanyongeza unaweza nijulisha
Ni siku hiyo hiyo wana print na kukupa...Labda inaweza kuchukua muda gani hadi kupata certificate? Baada ya kujaza fomu na kufuata taratibu zote
Sio biashara tu, hata kulipa mishahara... Kuagiza vitu, kununua, umepata ufadhili lazima TIN iusike mamlaka wakuombeHapana hawalipi kodi.
Ila kuna maeneo mengine km utahitaji kuanzisha miradi ya biashara mikubwa kwa ajili ya NGO yako ndy lzm uwe na TIN certificate
Wanafanya transaction Lazima wachangie kodiSorry kwani NGOs wanaoipa Kodi ?
Hawa jamaa waliniambia kwmba kma NGO ikakua na ikawa inaingiza faida hapo ndipo watapaswa kujikadiria na kuanzishiwa mfumo wa kulipa kodi.