Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 261
- 295
Habari wakuu,
Poleni na majukumu na pia niwatakieni kheri ya mwaka mpya. Shida yangu ni moja naomba anaye jua utaratibu wa kupata kibali kutoka kwa SUMATRA kupata ruti ya kusafirisha abiria toka eneo moja kwenda jingine upoje, nina gari Toyota hiace nataka ipige route za Dar - Chalinze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukumu na pia niwatakieni kheri ya mwaka mpya. Shida yangu ni moja naomba anaye jua utaratibu wa kupata kibali kutoka kwa SUMATRA kupata ruti ya kusafirisha abiria toka eneo moja kwenda jingine upoje, nina gari Toyota hiace nataka ipige route za Dar - Chalinze.
Sent using Jamii Forums mobile app