Habar wadau
Mdogo wenu bado nakimbizana na mambo ya programming huku sasa nataka nirahisishe mambo kuna mda nadownload source code files in my phone naziextract vzr tu sasa kuna mafile yenye source code yanaishia na extensions km vile
.c,.c++,.h.lib,.py, .vb nk
Nikitaka kuopen haya mafile ili nisome source code kupitia simu yangu simu inakataa nafanyaje wadau
Mdogo wenu bado nakimbizana na mambo ya programming huku sasa nataka nirahisishe mambo kuna mda nadownload source code files in my phone naziextract vzr tu sasa kuna mafile yenye source code yanaishia na extensions km vile
.c,.c++,.h.lib,.py, .vb nk
Nikitaka kuopen haya mafile ili nisome source code kupitia simu yangu simu inakataa nafanyaje wadau