Nawezaje kuopen source code files in android

renamaizo

JF-Expert Member
Oct 17, 2014
2,118
3,004
Habar wadau

Mdogo wenu bado nakimbizana na mambo ya programming huku sasa nataka nirahisishe mambo kuna mda nadownload source code files in my phone naziextract vzr tu sasa kuna mafile yenye source code yanaishia na extensions km vile

.c,.c++,.h.lib,.py, .vb nk

Nikitaka kuopen haya mafile ili nisome source code kupitia simu yangu simu inakataa nafanyaje wadau

Screenshot_20211127-080043_My_Files[1].png
 
Habar wadau

Mdogo wenu bado nakimbizana na mambo ya programming huku sasa nataka nirahisishe mambo kuna mda nadownload source code files in my phone naziextract vzr tu sasa kuna mafile yenye source code yanaishia na extensions km vile

.c,.c++,.h.lib,.py, .vb nk

nikitaka kuopen haya mafile ili nisome source code kupitia simu yangu simu inakataa nafanyaje wadau

View attachment 2024774
Nimesikitika sana, acha masihara.
 
Nomeipata inafungua sema haipo vzr yaan ili u open file lazima ufungue uenyewe keanza sasa mm nataka nikikuta code naclick tu ifunguke automatically
Tafuta PC mkuu, kwa simu kujifunza programming utakumbana na limitations nyingi mno amini nachokwambia, PC ina heshima/umuhimu wake kwenye kurahisisha mambo..
 
Tafuta PC mkuu, kwa simu kujifunza programming utakumbana na limitations nyingi mno amini nachokwambia, PC ina heshima/umuhimu wake kwenye kurahisisha mambo..
Nqjua ilo bro mm shida yngu niwe nasoma cod3 za wqtu nikizidownloqd kwa simu baadae nikiwq na pc naanzq kuzirun

So apa simu ni km kitabu tu sio full pc for programming
 
Back
Top Bottom