BABA PAROKO 92
Member
- Jun 17, 2019
- 92
- 79
Naombeni msaada wa wenye ujuzi na njia rahisi ya kumtambua mtoto kua ni damu yako au sio damu yako pasipo kupima DNA.
Umri wa mtoto usiozidi miaka mitano.
Naombeni msaada huo.
Nawakilisha!
Umri wa mtoto usiozidi miaka mitano.
Naombeni msaada huo.
Nawakilisha!