Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,498
- 86,014
- Thread starter
- #41
Dadeeeeki kesho nairejesha wallahjamaa yangu umenistua na mm nicheki, ila yako umepigwa mzee tena na kitu kizito chenye ncha kali kichwaniView attachment 2028574
Dadeeeeki kesho nairejesha wallahjamaa yangu umenistua na mm nicheki, ila yako umepigwa mzee tena na kitu kizito chenye ncha kali kichwaniView attachment 2028574
Hivi kumbe bado mnawekaga wallpaper za picha zenu???? Just kiddin. 😂Install application inaitwa CPU-Z then ifungue
Utakutana na option nyingi ;-
1. Soc
2. Device , click hapa device kuona specification za simu yako..View attachment 2027980
Hahahaha Mimi Sina uzoefu sana na simu ila hii haijanibariki sana kwa kweli, very expensive kwa level yangu Ila sidhani kama nimepata nilichotAkaNaona mnampepeta tu jamaa, wengine mnasema ndio yenyewe wengine mnasema kapigwa, Sasa which is which?
Wewe kuna kitu unakikosea kuhusu hio simu ila amini toka infinix aje ulimwengu wa simu itamchukua miaka kumi ijayo kutoa chuma kama hikoNilishatoka kwenye ujana sasa, anyway
Muache sie tuinjoi tu
Kama fek inakuaje?
Atatajiwa simu tofaut na alokua nayo au ataambiwa imei haipoKama fek inakuaje?
Hahaha haya sasa ni matusi, imekujae calculator yenye kiooUsiwashe 4g kila wakati kama huna matumizi nayo. Ndo inamaliza moto.
Mzigo wote huo achana na infinix, infinix ni calculator yenye kioo.
HahahahahaaahahaUsiwashe 4g kila wakati kama huna matumizi nayo. Ndo inamaliza moto.
Mzigo wote huo achana na infinix, infinix ni calculator yenye kioo.
Kama infinix ni calculator sisi tunaotumia sparck si ndio mtasema tunatumia gorokaUsiwashe 4g kila wakati kama huna matumizi nayo. Ndo inamaliza moto.
Mzigo wote huo achana na infinix, infinix ni calculator yenye kioo.