Nawezaje kujua hii simu kama ni Original, Fake au copy?

Sio mawe kapigwa anajifariji tu hio simu laki 6 unaipata tena na mb za ziada za kutosha kutoka tigo
Mpwa sinunuagi simu za promotion! Kupigwa ni pale mtu unapokua na pesa ya mawazo! Kama pesa Iko kwa bajeti hio huwezi kuwa na mawazo ya kupigwa! Nimethinitisha simu ni OG....inatosha kwa sasa!
 
Mpwa sinunuagi simu za promotion! Kupigwa ni pale mtu unapokua na pesa ya mawazo! Kama pesa Iko kwa bajeti hio huwezi kuwa na mawazo ya kupigwa! Nimethinitisha simu ni OG....inatosha kwa sasa!
Usipaniki hakuna mwenye pesa ya mawazo hio pesa ilikua unaongeza 50elfu unadaka simu kali zaidi kushinda hio poco f3, tulia mpwa mimi ndio kwa namna moja au ingine nimekushawishi iwe direct au indirect kutumia xiaomi kupitia uzi wangu pendwa
 
Usipaniki hakuna mwenye pesa ya mawazo hio pesa ilikua unaongeza 50elfu unadaka simu kali zaidi kushinda hio poco f3, tulia mpwa mimi ndio kwa namna moja au ingine nimekushawishi iwe direct au indirect kutumia xiaomi kupitia uzi wangu pendwa
Hahahaha siwezi kupaniki Mpwa kwa 750,000 hahahaha. Hivi ulinishawishi eegh? Maana nakumbuka niliikuta Twitter hii simu na price, anyway isiwe kesi next time nitanunua hio jnayosema.
 
Hahahaha siwezi kupaniki Mpwa kwa 750,000 hahahaha. Hivi ulinishawishi eegh? Maana nakumbuka niliikuta Twitter hii simu na price, anyway isiwe kesi next time nitanunua hio jnayosema.
Pamoja karibu sasa na kwenye uzi wa xiaomi users tz pale telegram tukupe gcam na vitu vikali fanya kuseach Xiaomi users tz telegram utaion kisha join grupu hio
 
Tuma imei number kwenda 15090 utapata majibu

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Screenshot_20211202-203011.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom