mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,617
- 9,679
Inategemea ww ulisoma miaka gani ila kwa siku hizi practical si sana hadi wafike viwandani ndio hujifunza kazi kivitendo zaidi.Kwa vyuo vya ufundi kama practical znapgwa kweli si mchezo ndo mana nkauliza hvyo mana hata mimi natokea huko nlichukua mech eng