Nawezaje kuishtaki Vodacom kwa udanganyifu huu?

THEGENTLEMAN1996

JF-Expert Member
May 13, 2017
518
590
Vodacom wana kifurushi cha SMS bila kikomo kwa siku 30, lakini kumbe hizo SMS zina kikomo cha SMS 5000 tu.

Sasa kwa mantiki hiyo Vodacom wanadanganya wateja wao na mimi nikiwa mmoja wao.
Sasa nifanyeje niwashtaki kwa kunidanganya.
 
VODACOM wana kifurushi cha SMS BILA KIKOMO kwa siku 30,lakini kumbe hizo SMS zina kikomo cha SMS 5000 tu.
sasa kwa mantiki hiyo VODACOM wanadanganya wateja wao na mimi nikiwa mmoja wao.
sasa nifanyeje niwashtaki kwa kunidanganya.
Umemaliza bila kikomo mkuu
 
Chukulia upo kwenye mkataba, but before haujasaini kunakuwa na vigezo na masharti, lazima viwe disclosed before contract haijakuwa executed, kama unaponunua iko kifurushi wamesema bila kikomo hawajasema idadi ya sms, mpaka ule wakati wa unakubali kununua ndio unapewa taarifa kuwa ni sms 5000, huo mkataba unaweza kuwashtaki kama haujatumia ata sms moja, but ukianza kutumia tu basi umekubaliana nao.
 
Chukulia upo kwenye mkataba, but before haujasaini kunakuwa na vigezo na masharti, lazima viwe disclosed before contract haijakuwa executed, kama unaponunua iko kifurushi wamesema bila kikomo hawajasema idadi ya sms, mpaka ule wakati wa unakubali kununua ndio unapewa taarifa kuwa ni sms 5000, huo mkataba unaweza kuwashtaki kama haujatumia ata sms moja, but ukianza kutumia tu basi umekubaliana nao.
Hawakwambii ni ngapi mpaka umalize ndipo utashtuka sms haziendi
 
Voda pumbaf sana hao..leo imenikuta..nimepgiwa sm naCustomer care wao akadai we flani bin flan? nikamwmbia Naam..akasema Mpesa inataka wakupe Bonus kwa Mpesa yako ya vile namna ulitumikia Acc yako sasa aknipga Swali lastime umeeka lini pesa na uko na Kiac gan kwa Acc yako..?? "duh nikashndwa niseme namna gani ila nikamwambia Mkuu we kama unanipa bonus nipatie tu,mbona unaniuliza Maswali mengi kama tuko radio One..akajbu anyway Check Acc yako aftr 4Mnts ntaku'call hadi hivi sijapigiwA wala bonus sikuona..!!
 
Voda pumbaf sana hao..leo imenikuta..nimepgiwa sm naCustomer care wao akadai we flani bin flan? nikamwmbia Naam..akasema Mpesa inataka wakupe Bonus kwa Mpesa yako ya vile namna ulitumikia Acc yako sasa aknipga Swali lastime umeeka lini pesa na uko na Kiac gan kwa Acc yako..?? "duh nikashndwa niseme namna gani ila nikamwambia Mkuu we kama unanipa bonus nipatie tu,mbona unaniuliza Maswali mengi kama tuko radio One..akajbu anyway Check Acc yako aftr 4Mnts ntaku'call hadi hivi sijapigiwA wala bonus sikuona..!!
Matapeli hao

from Katesh using Siemens C55
 
Voda pumbaf sana hao..leo imenikuta..nimepgiwa sm naCustomer care wao akadai we flani bin flan? nikamwmbia Naam..akasema Mpesa inataka wakupe Bonus kwa Mpesa yako ya vile namna ulitumikia Acc yako sasa aknipga Swali lastime umeeka lini pesa na uko na Kiac gan kwa Acc yako..?? "duh nikashndwa niseme namna gani ila nikamwambia Mkuu we kama unanipa bonus nipatie tu,mbona unaniuliza Maswali mengi kama tuko radio One..akajbu anyway Check Acc yako aftr 4Mnts ntaku'call hadi hivi sijapigiwA wala bonus sikuona..!!
ungetapeliwa haraka,
jamaa yangu alipigiwa simu hivo hivo tukashangilia,ila badae tuligundua ni tapeli
 
Back
Top Bottom