THEGENTLEMAN1996
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 518
- 590
Vodacom wana kifurushi cha SMS bila kikomo kwa siku 30, lakini kumbe hizo SMS zina kikomo cha SMS 5000 tu.
Sasa kwa mantiki hiyo Vodacom wanadanganya wateja wao na mimi nikiwa mmoja wao.
Sasa nifanyeje niwashtaki kwa kunidanganya.
Sasa kwa mantiki hiyo Vodacom wanadanganya wateja wao na mimi nikiwa mmoja wao.
Sasa nifanyeje niwashtaki kwa kunidanganya.