Nawezaje kuchukua michango yangu kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii?

Hao nssf pia wanazingua mm nimekaa miez sita na bado naambiwa tena nikae miez 3 mpk nipigiwe sm dah! Wananichanganya sn.. Cjui nafanyaje
Nimekaa miezi sita wameniambia tena baada ya miezi sita mingine yaani wanaboa kishenzi
 
Nataka Niache kazi and then nijiunge upya kama expert ili nikitaka kutoka nivute mpunga wangu ila kweli tumepatwa hadi kwenye maisha yetu binafsi khah!
 
Mi nimechukua NSSF mwez uliopita ila nimefatilia tangu mwez wa sita kulikuwa na mizengwe mingi had tulipofanya fujo na kwenda idara za juu ndio ikashughulikiwa in short wanalipa ila kwa njia tatu ufanye fujo na wakujue wewe msumbufu au kama mko wengi ndio safi,pili uwe una mtu wa kukufanyia mpango inamaana utoe mpunga ingawa juzi kati wamepangua pangua sana kusafisha hiy kitu au upandishe mashetan kama kuna jamaa alipandisha mashetan keaho yake wakamuandikia chek hamna mfumo maalum na ukiambiwa utapigiwa simu imekula kwako..unatakiwa upambane kweli kweli wengine huwa wanataka kulala had wanatolewa na walinz ndio wanapewa chao hivi hivi ndugu zangu mtasaga meno..!
 
Wakuu,

Hii sheria mpya inatia wasiwasi,ingawa haijapitishwa lakini naona mifuko wameshaanza kuzuia fao la kujitoa.

Nimesharesign na february nitakuwa free from my current emloyer,mfuko wangu ni PPF na ningependa kuchukua kafedha kangu kadogo kalichoko kule...kuna njia yoyote ninayoweza itumia kuipata pesa yangu?Sina mpango wa kuajiriwa tena na kuiacha hela yangu mpaka age 55 or 60 its crazy,kwa kipindi hicho haitakuwa na thamani ya sasa

Please advise.
swali la kwanza uliwapigia kura ccm mwaka jana??
 
Bunge lilizimwa tukaa kaa kimya!!
HESLB ina toza riba zisizo kwenye mikataba kimya!!
JPM ana tuburuza kimya!
BUNGE nalo kibogoyo!!
Hii sheria ilipita kimya kimya mjengoni toka 2012. Rais akasaini. Watz tunasituka kumekucha!!

Cha mhimu Elimu ya mbunge iwe minimum Degree 1, Form 6 Div 3 na Form Four Div3.

Mifuko ya hifadhi ya jamii ni full kijpendekeza hata kama sheria bado inafanyiwa majadiliano kati ya wadau na serikali.

Hapo subiri sheria ipelekwe mjengoni kwanza kupitiwa upya kati ya 2017 au 2018.
 
Nataka Niache kazi and then nijiunge upya kama expert ili nikitaka kutoka nivute mpunga wangu ila kweli tumepatwa hadi kwenye maisha yetu binafsi khah!
Kumbuka mfumo Wa sasa ni smart card! Whuwezi kubadili! Uingie kama expart! Wala kuhama! Jitwist maisha yako ubane matumizi uwe unafix 20% ya mshahara kama ulivyokuwa unakatwa, vinginevyo ukiacha kazi utapata tabu maana wengi Wetu tulikuwa tukitegemea Mafao Hayo kama mkombozi Wetu hasa sisi Wa private sector kwakuwa wengi Wetu hatukuwa na tendency ya kusave bank!
 
Kumbuka mfumo Wa sasa ni smart card! Whuwezi kubadili! Uingie kama expart! Wala kuhama! Jitwist maisha yako ubane matumizi uwe unafix 20% ya mshahara kama ulivyokuwa unakatwa, vinginevyo ukiacha kazi utapata tabu maana wengi Wetu tulikuwa tukitegemea Mafao Hayo kama mkombozi Wetu hasa sisi Wa private sector kwakuwa wengi Wetu hatukuwa na tendency ya kusave bank!
Dah tatizo NSSF hawaeleweki kama wanatoa au la yaani ni kama popo si mnyana si ndege
 
WAFWAAA,utaserebuka na vyombo,bora ungejiunga Nssf
weeee NSSF mkuu wacha kudanganya umma, hakiuna ilo fao..nna hela zangu nmeenda jana tu apo waterfront na nikaambiwa hakuna hilo fao mpaka ufike umri wa kustaafu mwisho.
 
weeee NSSF mkuu wacha kudanganya umma, hakiuna ilo fao..nna hela zangu nmeenda jana tu apo waterfront na nikaambiwa hakuna hilo fao mpaka ufike umri wa kustaafu mwisho.
Tatizo maelezo yanatofautiana kuna wanao sema wanatoa na kuna wanso sema hawstoi, Hii mifuko isahau watu kuchangia kwa hiari, watakuwa wanawabana waajiri tu.

Na hapa kama unafanya private kabisa unaobgea na mwajiri uwe unafanya kama kibarua kwa mieizi mitatu mitatu. hakuna namna
 
Dah tatizo NSSF hawaeleweki kama wanatoa au la yaani ni kama popo si mnyana si ndege
Hayo ya Nssf kuwa usubiri miezi6 ni uongo mtakatifu! Wameshapata maagizo toka mamlaka za juu wasilipe! wanasubiri BUNGE LIGONGELEE NYUNDO YA MWISHO!!! Wanatumia hiyo trick kuvutia employee wapya, kwani huukuuona ule waraka Wa Elibariki Kingu MB., kwa MP's wenzake kuwasihi waunge mkono zuio la FAO la kujitoa, ILI KUJENGA VIWANDA!!? UKO HUMU, MH, ALIAHIDI VIWANDA KWA KUTEGEMEA MICHANGO YETU! NDIO MAANA MAJUZI UMEONA KWENYE HABARI KUWA NSSF WAMEACHA KUJENGA MAJENGO WANAANZA KUJENGA NA KUFUFUA VIWANDA!!!... NA BADO MBONA HATUJANYOOKA BADO!!!
 
sasa hivi mfuko amabo bado nafuu ni GEPF tu ndiko waweza pata hela zako
 
NSSF sasa hivi hawatoi, kuna mtu namfahamu walimwambia baada ya miezi 6, kufika hiyo miezi kaenda wiki iliyopita wamemwambia hawatoe mpaka afikishe 55, kwahiyo sasahiv kwenye NSSF hakuna fao la kujitoa
 
Back
Top Bottom