Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,089
- 16,119
Wote wanaojibu tofauti si watu wa jukwaa hiliwatu bana badala kutoa maelekezo mnaanza kumzingua mwenzenu. . . .kwani mdaiwa pekee ndo hapendi mawasiliano na mtu fulani? . . .upuuzi
Wote wanaojibu tofauti si watu wa jukwaa hiliwatu bana badala kutoa maelekezo mnaanza kumzingua mwenzenu. . . .kwani mdaiwa pekee ndo hapendi mawasiliano na mtu fulani? . . .upuuzi
Kama kichwa cha habari
kinavyoeleza hapo, natumia simu aina ya simu Nokia Asha screen touch,
nimejaribu lakini nimeshindwa kuna mtu sitaki awasiliane na mimi
Siyo deni jamani, kuna mshenzi fulani ananisumbua nimeshamwambia simtaki ananisumbua sana mpaka imekuwa kero mara sms, mara apige, mara abip. Mtu mwenyewe hata kutongoza hajui
Siyo deni jamani, kuna mshenzi fulani ananisumbua nimeshamwambia simtaki ananisumbua sana mpaka imekuwa kero mara sms, mara apige, mara abip. Mtu mwenyewe hata kutongoza hajui