Nawezaje kubadili Imei namba?

geraldincredible

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
2,036
7,194
Wakuu nina simu yangu samsung note 5, nataka nibadili imei namba nipeni ujuz jinsi ya kufanya. Nimesaidiwa mengi jukwaa hili hope na hili nitasaidiwa.

Natanguliza shukrani.

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ni kosa kisheria, fine yake ni 5 milion na kifungo kwa fundi.

Kwa maana hiyo sio biashara ya kwenda tu kkoo nakusema unataka kuifanya hutapata fundi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom