CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mu-hali gani wana Chit chat???
Mwenzenu hii tabia inanikera niaje, kwa takribani miaka saba nimekuwa nikilala kwenye vitanda vikubwa vyenye kati ya futi 5-6.
Tatizo ni kwamba hata nilale katikati ya kitanda asubuhi nitakuta nimelala pembezoni kabisa karibu kuanguka ila chandarua ndo huwa kinanisaidia. Pia kama kamba ya chandarua ni legelege huwa najikuta nimejifunika chandarua yaani imekatika.....
Inanilazimu kulala na nightdress za mikono mirefu ili nising'atwe na mbu maana huko pembezoni mbu husherehekea sana kuning'ata.
Nifanyeje ili iwe nalala vizuri.????!
Mwenzenu hii tabia inanikera niaje, kwa takribani miaka saba nimekuwa nikilala kwenye vitanda vikubwa vyenye kati ya futi 5-6.
Tatizo ni kwamba hata nilale katikati ya kitanda asubuhi nitakuta nimelala pembezoni kabisa karibu kuanguka ila chandarua ndo huwa kinanisaidia. Pia kama kamba ya chandarua ni legelege huwa najikuta nimejifunika chandarua yaani imekatika.....
Inanilazimu kulala na nightdress za mikono mirefu ili nising'atwe na mbu maana huko pembezoni mbu husherehekea sana kuning'ata.
Nifanyeje ili iwe nalala vizuri.????!