Naweza soma chuo bila mkopo?

Mr IQ

JF-Expert Member
Jun 23, 2015
798
738
Nahitaji kwenda chuo na sitaki nichukue loan! Coz nna biashara yangu naingiza 150k per month
Ushauri wenu wasomi mlio pitia university
 
Ungeeleza kwanza unaenda kusoma kitu gani? Chuo gani? ada unatoa kwenye hiyo biashara yako au wapi?
Nataka nisome education.. Ada niltak nijikusanye kwny biashara yanguu hii hii
 
Kama ni Ardhi university bila loan utafilisika tu pale kama UDOM sawa utakuwa unakula zako ujaisi msosi mwingiiii maisha safi tu tena pale UDOM ualimu ada kama laki 7 iv
 
Kama ni Ardhi university bila loan utafilisika tu pale kama UDOM sawa utakuwa unakula zako ujaisi msosi mwingiiii maisha safi tu tena pale UDOM ualimu ada kama laki 7 iv
Asantee mkuu... Udom wanasema maisha cheap kuliko UDSM
 
Nataka nisome education.. Ada niltak nijikusanye kwny biashara yanguu hii hii

Education....!!

Kama ni masomo ya arts think twice. Unless uwe na nia ja kujiajiri! Ila kama imeenda chuo ilimradi uonekane umeenda chuo fikiria upya amuzi wako.
 
Education....!!

Kama ni masomo ya arts think twice. Unless uwe na nia ja kujiajiri! Ila kama imeenda chuo ilimradi uonekane umeenda chuo fikiria upya amuzi wako.
Kwahiyo unataka nibadilishe course? Na ipi ambayo unashauri nisome?
 
Nahitaji kwenda chuo na sitaki nichukue loan! Coz nna biashara yangu naingiza 150k per month
Ushauri wenu wasomi mlio pitia university
Inawezekana kabisa,haina shida. Sema hiyo biashara yako huyo utakayemwachia awe mwaminifu tu hela ipatikane kama vile mwenyewe upo karibu
 
Kama biashara inakupa 150k kwa mwez, basi hapo huwez endeleza biashara na chuo kwa pamoja maana utakayemuweka hapo hataweza kukupa pesa yako na yeye ajilipe na biashara ijihudumie mahitaji yake muhimu....
Kama unafanya education wewe jiunge Open University tu ndio utaweza kutoboa bila kuharibu biashara yako na biashara yako ibaki salama.
Nb: maana wew n mtu wa mambo mengi, hakikisha unajiwekea nidhamu ya kutosha ili utoboe kirahisi sana Open hasa kwa hayo masomo ya arts
 
Kama biashara inakupa 150k kwa mwez, basi hapo huwez endeleza biashara na chuo kwa pamoja maana utakayemuweka hapo hataweza kukupa pesa yako na yeye ajilipe na biashara ijihudumie mahitaji yake muhimu....
Kama unafanya education wewe jiunge Open University tu ndio utaweza kutoboa bila kuharibu biashara yako na biashara yako ibaki salama.
Nb: maana wew n mtu wa mambo mengi, hakikisha unajiwekea nidhamu ya kutosha ili utoboe kirahisi sana Open hasa kwa hayo masomo ya arts
Asante wazo zurii but open university wanasema ngumu kutoboa
 
Back
Top Bottom