naweza pata wapi hicho kifaa wi-fi modem huawei ya 50 elfu
nilienda voda wakaniambia usb mobed haiwez kufanction, so natakiwa nipate router or cm yenye hotspot
hapana hawajaniuzia wao bali nilienda kucheki modem wakaniambia nichukue router kwa 70 elfu
hapana hawajaniuzia wao bali nilienda kucheki modem wakaniambia nichukue router kwa 70 elfu
whatzaaaaap,., dont overthink this bro ts simple like hell,kwanza wifi device ya nini kama budget yako ni ndogo? tumia modem kwenye tab yeyote ya android (works best with rooted tablet)...unachohitaji ni usb 2 mini yenye female output ya usb kubwa (OTG USB Cable)Je mnaweza kunielekeza wap naweza pata ichi kifaa ama mtu aniuzie, me nipo Mbeya