Naweza nikapata uruma UDSM kwa matokeo haya katika sheria

Hatuchagui kwa huruma,tunachagua kwa ufaulu bora. Mwaka huu tutachagua hadi daraja la kwanza la alama 6. Tafuta Kitabumauzo( Prospectus) ya chuo ufanye utafiti wako binafsi...
 
Hatuchagui kwa huruma,tunachagua kwa ufaulu bora. Mwaka huu tutachagua hadi daraja la kwanza la alama 6. Tafuta Kitabumauzo( Prospectus) ya chuo ufanye utafiti wako binafsi...

hzo 1.6 mtazitolea wapi kama watu wenyewe wamefeli kiasi hki?
 
unapata law,,,,vizuli ila inabidi uappply under private sponsorship........ila kumbuka kufanikiwa katika maisha sio lazima usome udsm law kwani unaweza kupiga kozi zingine na ukatoka
 
kwanza div 2 unaonekana umeigizia mtihani...Uruma ndo nini?we nenda kalime huwezi mambo ya kusoma

Yaani Mabweg.e kama nyie mnanikera kinoma yaani wewe mtu anauliza kwa nia ya kujua then unaleta uboya hapa fal.a wewe
 
Back
Top Bottom