Naweza nikapata kiwanja Kawe kwa Million15?

Hustling

New Member
Dec 13, 2018
2
1,190
Habari Wana JF

Hivi naweza nikapata kiwanja Cha million 15 Kawe? Maana Kinyerezi pamenishinda Bei za viwanja zipo juu mno kule
 
Habari Wana jf,hivi naweza nikapata kiwanja Cha million 15 kawe??? Maana kinyerezi pamenishinda Bei za viwanja zipo juu mno kule

Noma

Sasa km umeshindwa kinyerezi utapaweza kawe? Songea songea huko mpiji magohe Au Bagamoyo
 
Njoo Tabata Kimanga dak 10 toka stend ipo nyumba kabisa ongeza hela kidogo ina msji na umrme
 
Ukishindwa nione mkuu njoo kwangu ninavyo madale,mbweni na bunju vizur sanaa karibu sana kwa dalalimsomi au angalia vingne katika instagram page ya @dalalimsomitz
Au simu 0673540985 au 0765532858

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom