Korozoni
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 264
- 105
Habari wana Jf,
Naomba kufahamishwa kama naweza kusoma upya somo la Biology O'level ili ku-replace somo la Geography kwenye cheti.
Hii ni kwa sababu mimi nilisoma Shule ya Ufundi.
Kwenye Shule hizi Biology au Geography huachwa kidato cha tatu ili masomo ya ufundi yachukue nafasi yake.
Mimi nilichukua Geography na masomo mengine ya kawaida pamoja na Ufundi.
Lengo langu nikwenda kusoma kozi za Afya.
Asante.
Naomba kufahamishwa kama naweza kusoma upya somo la Biology O'level ili ku-replace somo la Geography kwenye cheti.
Hii ni kwa sababu mimi nilisoma Shule ya Ufundi.
Kwenye Shule hizi Biology au Geography huachwa kidato cha tatu ili masomo ya ufundi yachukue nafasi yake.
Mimi nilichukua Geography na masomo mengine ya kawaida pamoja na Ufundi.
Lengo langu nikwenda kusoma kozi za Afya.
Asante.