Ndugu zangu mnisaidie naombeni ushauri wenu
Nimefanya mtihan wa form 4 aalafu malengo yangu ni kwenda chuo diploma
Tena napenda nisomee water management au laboratory technician
Lakini naona kabisa mathe matics nina enda kupata F
Ila mengine nitapiga tu vzur.
nisaidie tafadhali
Nimefanya mtihan wa form 4 aalafu malengo yangu ni kwenda chuo diploma
Tena napenda nisomee water management au laboratory technician
Lakini naona kabisa mathe matics nina enda kupata F
Ila mengine nitapiga tu vzur.
nisaidie tafadhali