HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,565
Nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari ITV jana na juzi, nikakutana na habari hii ...
Kuna boat moja ilizama, I think Kenya, juzi; ilikuwa imebeba watu wa kutosha. Ndugu mmoja ambaye alinusurika kwenye hiyo ajali alikuwa na familia yake ya mke na watoto watatu. Alisema yeye alichofanya ni kujiokoa yeye kwanza na halafu akamuokoa na mke wake.
Watoto wake wawili waliokolewa baadaye na watu wengine. Huyo mmoja haikujulikana status yake.
Swali: Ingekuwa wewe kwenye hatari ya tukio hili la kweli ungemuokoa mke/mpenzi au watoto? Unafikiri alifanya maamuzi sahihi? tunaweza kuyaita haya ni mapenzi ya kweli kutoka kwa mume kwenda kwa mke?
Tusaidiane mawazo.
Wenu,
HorsePower
Kuna boat moja ilizama, I think Kenya, juzi; ilikuwa imebeba watu wa kutosha. Ndugu mmoja ambaye alinusurika kwenye hiyo ajali alikuwa na familia yake ya mke na watoto watatu. Alisema yeye alichofanya ni kujiokoa yeye kwanza na halafu akamuokoa na mke wake.
Watoto wake wawili waliokolewa baadaye na watu wengine. Huyo mmoja haikujulikana status yake.
Swali: Ingekuwa wewe kwenye hatari ya tukio hili la kweli ungemuokoa mke/mpenzi au watoto? Unafikiri alifanya maamuzi sahihi? tunaweza kuyaita haya ni mapenzi ya kweli kutoka kwa mume kwenda kwa mke?
Tusaidiane mawazo.
Wenu,
HorsePower