Mimi siyo mzoefu wa magari (fundi).Ila nina uhakika hiyo gari inafika kilimanjaro bila shida.maana mara nyingi naziona hizo vits kwenye misafara ya IT zinapelekwa Congo au Zambia kwa kuendeshwa na huwa zinafika.so Moshi ni karibu ukilinganisha na huko zinakopelekwa hizo IT.Cha msingi jitathimini mwenyewe kama unaweza safiri umbali mrefu.pia hali ya gari yenyewe,unatakiwa pia kufanya service nzuri na tyres ikiwezekana badilisha.Wajuzi wa safari za masafa ya kati na marefu nijulisheni
Naweza kusafiri na vitz new model kutoka Dar hadi moshi?
Huwa nazunguka nacho tu hapa jijini tu mizunguko ya hapa na pale Sina uzoefu wa kutembea na gari kama hii masafa marefu zaidi nilishatoka tu nayo hadi Turiani morogoro
Vipi kwa moshi Kilimanjaro naweza kusafiri na hii vitz maana December ya kuhesabiwa ndo imeingia
NB:WAJUZI TU WAKOMENT KEJELI NA DHARAU SITAKI KAMA HUWEZI SHAURI KAUSHA
pia usibebe uzito zaidi ya uwezo wa gari.ikiwepo kubeba watu wenye uzito mkubwa sana