The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,421
- 17,018
Wakuu habari.
Mimi ni mpeni wa vazi la suti mara moja moja kwa mwezi au event sio mbaya.
Sasa kuna huu muundo wa suti naona kama umenivutia.
Naomba kwa anaejua naweza kuzipata wapi kwa hapa Dar es Salaam.
Nimependa muundo wake wa kifuani.
Ahsante.
Mimi ni mpeni wa vazi la suti mara moja moja kwa mwezi au event sio mbaya.
Sasa kuna huu muundo wa suti naona kama umenivutia.
Naomba kwa anaejua naweza kuzipata wapi kwa hapa Dar es Salaam.
Nimependa muundo wake wa kifuani.
Ahsante.