Check inbox brohTyr mkuu ila nina wasi wasi na hiyo E ya Eng pamoja na F ya B/math maana TCU wanataka hayo masomo angalau uwe na alama D
Nenda guide book to confirm if F maths has any substanceTyr mkuu ila nina wasi wasi na hiyo E ya Eng pamoja na F ya B/math maana TCU wanataka hayo masomo angalau uwe na alama D
Hivi principal pass ni kuanzia alama ngapi ktk grades za A,B,C,D,E?
Na je E ni principal pass?
Msaada wadau.
tangu lini E ni subsidiary?Principal pass za kwenda chuo ni kwanzia
A---D .
E=subsidiary
E-ni satisfactory
Muhas huwezi kupata na ondoa hilo wazo maana matokeo yako ya O level yamekuangusha na pia ushindani mkubwa. kama una uwezo jaribu vyuo vingine vya private...Tyr mkuu ila nina wasi wasi na hiyo E ya Eng pamoja na F ya B/math maana TCU wanataka hayo masomo angalau uwe na alama D
siku hizi kuna E o level?Kiongozi kwani wew elimu yako upo wapi primary, O-level, A-level au chuo? Kila sehemu E Ina maana yake.
Vya private system inagoma ksubmit application.Muhas huwezi kupata na ondoa hilo wazo maana matokeo yako ya O level yamekuangusha na pia ushindani mkubwa. kama una uwezo jaribu vyuo vingine vya private...
Wanazingua sana bora wangekataa mapema ili kama ni kurudia hayo masomo mawili nirudie mapema