Je mimi sitafariki?nahofu isije ikareact -ve kwanguHapo ni kama unawapelekea minyoo energy drink wapambane na dawa hautapona ng'o
Je mimi sitafariki?nahofu isije ikareact -ve kwangu
andaa jeneza! dawa zote zenye neno ZOLE
mwishoni ni hatari! all the best safari yako ya mwisho
Hautakufa lakini sio sawa kunywa dawa na pombee...!! Unaweza experience side effect mbaya...Je mimi sitafariki?nahofu isije ikareact -ve kwangu
Kunywa tuu bwashee pale manzese wauzaji wametoa punguzo la bei kwa christmass hii hii ni ofa maalumNimetumia dawa ya minyoo Alben, masaa matatu yamepita. Naweza kunywa pombe?