BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,020
Wewe ni me/ke? Kama ni ke kuna mwenzako njoo kaa nae hapa nae anapiga ud 1st yr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unaweza kukaa. Ila swala kuchelewa itakuwa kawaida sana, maana hizo sehemu zipo mbali mbali.
Pia hakuna gari direct kutoka Gomz kwenda Udsm, labda UBER.
Unaweza kukaa Gongolamboto bila shida, ila elewa sisi wakazi wa Gongolamboto sote ni "Wanariadha
HahahahahahaChamoto utakiona we jaribu week moja.
Hata week naona nimekuonea.
Fanya siku tatu!
Ulete mrejesho.
hutaki kukaa hostel?Sina kodi ya kulipa miezi 6 mkuu....
Hostel zimejaa
Haaa haaa haaa kula like mkuu, naona umeamua tu kumwambia ukweli kuliko hao wanaompakapaka mafuta tu. Gomz to UDSM sio kitotoChamoto utakiona we jaribu week moja.
Hata week naona nimekuonea.
Fanya siku tatu!
Ulete mrejesho.
Kutoka ulongoni b hadi gomz mwisho unapanda bajaj sh 500 then uchukue daldala hadi mabibo hostel sh 500, halafu upande daladala za chuo kwenda main campus sijui nowdays sh ngapi. Hapo piga hesabu go and return kwa mwezi plus muda unaotumia kutoka ulongoni hadi udsm. Mimi nakushauri bora ukakae kibaha angalau unaweza kuwahi ila sio gomz.Maana ni kutoka ulongoni b
Kakae sinza au surveyEti jamani naweza kukaa Gongo la Mboto mwisho nikasoma UDSM?
Kuna daladala za Gongo la Mboto zinafika UDSM au Ardhi?
Nauli je?