lucas mkata
Member
- Nov 28, 2016
- 12
- 4
habari zenu ...nilikuwa naomba kueleweshwa kuhusiana na hili mwakani natarajia kujiunga na chuo cha ufundi iringa kinachoitwa donbosco fani ya electrical installation swali langu ni je kama nikifanikiwa kuhitimu level 3 naweza kujiendeleza ktk vyuo vikubwa vya maswala haya ya ufundi kama vile mist,dit n.k kwa ngazi ya diploma???natanguliza shukrani.