Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,467
- 10,993
Wakubwa zangu nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha unga wa sembe ila kitu ambacho mpaka sasa kinanipa changamoto ni juu ya hawa watu TBS na TFDA.
Je, naweza fanya uzalishaji bila kibali toka kwao?
Na kama kibali ni lazima utaratibu uko vipi na gharama zake kwa wajasiriamali wadogo.
Pia lazima wote wawili wahusike au unaweza thibitishwa na mmoja ukaendelea na kazi.
NB: Nimesoma michango mingi sana kuhusu hii biashara nimejifunza vitu vingi sana ila kwa hao jamaa nilikosa taarifa sahihi. Msaada kwa wazoefu.
El perdedo
Je, naweza fanya uzalishaji bila kibali toka kwao?
Na kama kibali ni lazima utaratibu uko vipi na gharama zake kwa wajasiriamali wadogo.
Pia lazima wote wawili wahusike au unaweza thibitishwa na mmoja ukaendelea na kazi.
NB: Nimesoma michango mingi sana kuhusu hii biashara nimejifunza vitu vingi sana ila kwa hao jamaa nilikosa taarifa sahihi. Msaada kwa wazoefu.
El perdedo