talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,188
- 759
Habari wadau wa biashara na ujasiliamali.
Labda nitangaze interest. Nimefungua biashara yangu ambayo inahitaji sana kupokea malipo ya awali kabla ya kutoa huduma na nikaifikiria PayPal.
Katika mapitio yangu inaonekana Tanzania haijaanza kutumia huduma hii rasmi.
Kwa kutambua hilo naomba kujua namna rahisi ya kufungua aina hii ya account sio ile ya kulipia tu bali ya kupokea malipo pia kwa Tanzania na nika integrate na website yangu?
Nategemea msaada wenu wa mawazo na pia kama kuna hatari ya gharama na kupoteza pesa ni vema mniambie na kama mtakuwa na njia nzuri zaidi mnishauri pia.
Ahsanteni.
Labda nitangaze interest. Nimefungua biashara yangu ambayo inahitaji sana kupokea malipo ya awali kabla ya kutoa huduma na nikaifikiria PayPal.
Katika mapitio yangu inaonekana Tanzania haijaanza kutumia huduma hii rasmi.
Kwa kutambua hilo naomba kujua namna rahisi ya kufungua aina hii ya account sio ile ya kulipia tu bali ya kupokea malipo pia kwa Tanzania na nika integrate na website yangu?
Nategemea msaada wenu wa mawazo na pia kama kuna hatari ya gharama na kupoteza pesa ni vema mniambie na kama mtakuwa na njia nzuri zaidi mnishauri pia.
Ahsanteni.