Naweza kufanya biashara gani na mtaji wa elfu 50 nikazalisha faida?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Habar za wakati huu memba mwenzangu,ndugu,jamaa, na mwana jamiiforum mwenzangu. Natumai wewe unayesoma ni mzima wa afya na unaendelea vyema na shughuli zako na Mungu akutie nguvu kwa kila ufanyalo lifanikiwe,,,

Nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kwenye mada
Kwanza mimi ni mwanachuo nimebahatika nimepata shilingi elfu 50 nataka niingize kwenye biashara ili nitengeneze kipato cha kuendeleza maisha yangu ?

Nasoma kwa level ya diploma Arusha huku napenda sana kujishughulisha
Am still young bado ndo kwanza miaka 19 ila ninajitahidi na kupambana na hali yangu

Nishaurini wakuu hii elfu 50 niwekeze katika biashara gani wakuu hapa katika jiji la arusha
Ushauri ni muhimu sana asante
 
Kama unaweza jaribu ya nguo uwe unaenda kuchukua Memorial pale moshi then peleka kwenye masoko hasa tengeru siku ya jmosi na Usa-River siku ya jpili kwa kuwa wewe ni mwanafunzi si vibaya kutenga hizo siku mbili kwa wiki
 
Mkuu sio kwamba nakukatisha tamaa lkn Kwa uanachuo wako MTU asikudanganye hiyo 50,000 hakuna chochote utaweza Fanya,ingekuwa pesa ya kutosha ungefungua kijiofisi cha maana kidogo na kuweka muuzaji ambae utamlipa mwisho Wa mwez,kumbuka ww upo chuo Kwa hiyo hata kama utafungua kigenge mtaani bado kitahitaji MTU Wa kuuza masaa yote ambayo ww utakuwa chuoni,......ushauri wangu km una weza kuitunza hiyo hela bila ya kuitumia hadi itakapofika angalau laki 3 basi Fanya hivyo ili laki 2 ufungue biashara na laki 1 ibaki km dharura na malipo ya muuzaji Kwa mwez,..km huwez kuitunza wakati unatafuta ya kuongeza ni bora kuitafuna tu..
 
Mkuu sio kwamba nakukatisha tamaa lkn Kwa uanachuo wako MTU asikudanganye hiyo 50,000 hakuna chochote utaweza Fanya,ingekuwa pesa ya kutosha ungefungua kijiofisi cha maana kidogo na kuweka muuzaji ambae utamlipa mwisho Wa mwez,kumbuka ww upo chuo Kwa hiyo hata kama utafungua kigenge mtaani bado kitahitaji MTU Wa kuuza masaa yote ambayo ww utakuwa chuoni,......ushauri wangu km una weza kuitunza hiyo hela bila ya kuitumia hadi itakapofika angalau laki 3 basi Fanya hivyo ili laki 2 ufungue biashara na laki 1 ibaki km dharura na malipo ya muuzaji Kwa mwez,..km huwez kuitunza wakati unatafuta ya kuongeza ni bora kuitafuna tu..
Watu wa humu na kukatisha tamaa hamjambo, hivi kila mtu angekua anaanza na mtaji wa laki kadhaa hawa wafanyabiashara wadogo wangekuwepo? Huko Arusha mbona mitumba bei chee mi nikienda huko, huwa naenda mbauda pale kununua tu nguo za mtoto kwa matumizi yangu nikienda na elf 30 narudi na mfuko wa maana umejaa nguo tena mitumba mizuri nguo za maana, sasa ye elf 50 tena kwa biashara atakosa cha kufanya kweli????
 
Habar za wakati huu memba mwenzangu,ndugu,jamaa, na mwana jamiiforum mwenzangu
Natumai wewe unayesoma ni mzima wa afya na unaendelea vyema na shughuli zako na mungu akutie nguvu kwa kila ufanyalo lifanikiwe,,,
Nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kwenye mada kwanza mimi ni mwanachuo nimebahatika nimepata shilingi elfu 50 nataka niingize kwenye biashara ili nitengeneze kipato cha kuendeleza maisha yangu ?
Nasoma kwa level ya diploma arusha huku napenda sana kujishughulisha
Am still young bado ndo kwanza miaka 19 ila ninastruggle na kupambana na hali yangu
Nishaurini wakuu hii elfu 50 niwekeze katika biashara gani wakuu hapa katika jiji la arusha
Ushauri ni muhimu sana asante
Kuna jamaa ni mwanachuo yeye huwa anafanya kazi ya kupaka rangi wadada, kila alipo hata akiwa chuo anakua na kibegi chake cha kazi, huwa tunampigia simu anakuja, akija saloon wateja kibao, wateja wa mtaani, wanachuo wenzie.
Mi naona anapata hela sana yule kijana (japo hii kazi kwa nnavojua wanachuo inahitaji uwe na nia kweli ya kutafuta)
 
Kama unaweza jaribu ya nguo uwe unaenda kuchukua Memorial pale moshi then peleka kwenye masoko hasa tengeru siku ya jmosi na Usa-River siku ya jpili kwa kuwa wewe ni mwanafunzi si vibaya kutenga hizo siku mbili kwa wiki
Ooooh thanks
 
Mkuu sio kwamba nakukatisha tamaa lkn Kwa uanachuo wako MTU asikudanganye hiyo 50,000 hakuna chochote utaweza Fanya,ingekuwa pesa ya kutosha ungefungua kijiofisi cha maana kidogo na kuweka muuzaji ambae utamlipa mwisho Wa mwez,kumbuka ww upo chuo Kwa hiyo hata kama utafungua kigenge mtaani bado kitahitaji MTU Wa kuuza masaa yote ambayo ww utakuwa chuoni,......ushauri wangu km una weza kuitunza hiyo hela bila ya kuitumia hadi itakapofika angalau laki 3 basi Fanya hivyo ili laki 2 ufungue biashara na laki 1 ibaki km dharura na malipo ya muuzaji Kwa mwez,..km huwez kuitunza wakati unatafuta ya kuongeza ni bora kuitafuna tu..
Sawa
 
Watu wa humu na kukatisha tamaa hamjambo, hivi kila mtu angekua anaanza na mtaji wa laki kadhaa hawa wafanyabiashara wadogo wangekuwepo? Huko Arusha mbona mitumba bei chee mi nikienda huko, huwa naenda mbauda pale kununua tu nguo za mtoto kwa matumizi yangu nikienda na elf 30 narudi na mfuko wa maana umejaa nguo tena mitumba mizuri nguo za maana, sasa ye elf 50 tena kwa biashara atakosa cha kufanya kweli????
Kwl dadangu
 
Kuna jamaa ni mwanachuo yeye huwa anafanya kazi ya kupaka rangi wadada, kila alipo hata akiwa chuo anakua na kibegi chake cha kazi, huwa tunampigia simu anakuja, akija saloon wateja kibao, wateja wa mtaani, wanachuo wenzie.
Mi naona anapata hela sana yule kijana (japo hii kazi kwa nnavojua wanachuo inahitaji uwe na nia kweli ya kutafuta)
Asannte sana madam kwa ushaur yako
 
Back
Top Bottom