Naweza kuapply chuo ikiwa nimepoteza academic certificate.

Ndera

JF-Expert Member
Sep 11, 2013
653
548
Wakuu,
Tafadhali sana, mnipe ushauri na utaratibu mm nimepoteza cheti changu cha form 4 na ninahitaji kuapply chuo.

Asante.
 
dah hapo sidhan kam itawezekana mana ni lazima uambatanishe na copy ya cheti cha f4.kwan taarifa za kupotea kwa cheti ulitoa na umefatilia kuwa ilitakiwa ufabye nin baada ya kukipoteza?
 
Unakumbuka no?unaweza ku apply kama unakumbuka number ya mtuhani but kwenye confirmation lazima physical submission ya vyeti vyako ORIGINAL
 
Unakumbuka no?unaweza ku apply kama unakumbuka number ya mtuhani but kwenye confirmation lazima physical submission ya vyeti vyako ORIGINAL

Ndio Mkuu, nakumbuka namba yangu ya mtihani.
 
dah hapo sidhan kam itawezekana mana ni lazima uambatanishe na copy ya cheti cha f4.kwan taarifa za kupotea kwa cheti ulitoa na umefatilia kuwa ilitakiwa ufabye nin baada ya kukipoteza?

Mkuu, najaribu kutafuta nione kama walau naweza kupata copy.
 
jiandae mapema mwakan kipenga kinaria uku kujiunga chet d-5 diploma e-2 degree c-2 na kama ulimaliza miaka 5 nyuma usi apply tena nenda vyuo vya uganda na kenya
 
Back
Top Bottom