Yaah mkuu baada ya kubadili rangi ya gari itakubidi upate vehicle inspection report kutoka police-trafic, baadae TRA kwa ajili ya kupata kadi mpya yenye rangi ya sasa.Eti kuna Tatizo lolote naweza Pata kama nikibadirisha gari rangi bila kupitia kwa traffic na TRA.View attachment 1582886
Sasa mkuu unataka ubadilishe rangi wakati kadi ya gari yako imeandikwa rangi nyingine, siku ukiambiwa hiyo gari haina kadi umeiba utabisha??Mmh..sheria zingine ni shdaaaaa
Tra na vehicle inspection report lazima ziendane ktk kupata kadi mpya vinginevyo kipusa
Cha muhimu ni namba ya gari,au cheses namba sijui...hivi ukifunga ndoa ambaye mke wako wakati akiwa mwembamba au mweusi alafu siku akinawili na kuwa mnene white.. Watasema sio mkeo??Sasa mkuu unataka ubadilishe rangi wakati kadi ya gari yako imeandikwa rangi nyingine, siku ukiambiwa hiyo gari haina kadi umeiba utabisha??
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app