Naweka kumbukumbu sawa Nyerere msimlinganishe na mtu yeyote, mnamkosea heshima

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Unakosea sana kusema kwamba Nyerere hakufanya jambo ninyi inabidi kueleweshwa

1.Nyerere kapokea shule chini ya 20 za sekondari na mpaka anastaafu aneacha shule 200+

2. Nyerere kakuta wasiojua kusoma na kuandika katika 100 walikuwa 96, lakin mpaka anastaafu walikuwa 42 tu Kati ya mia

3. Nyerere hakukuta bwawa hata moja la kuzalisha umeme, lakin mpaka anaondoka mabwawa yote unayojua zaid ya 10 ni ya Nyerere na mpaka sasa hamjaongeza lolote

4. Nyerere hakukuta mfumo wa utawala wetu wa kujitawala wenyewe na kuheshimu muda wa utawala mpaka sasa inafuatwa

5.Nyerere amekuta hatuna benki kuu wala shiling yetu lakin mwaka 1965 kuputia B.O.T act ikaanzishwa benki yetu kuu na kuanzisha shilling yetu kutoka east Africa currency

6. Nyerere hajatukuta na Reli ya Tazara imewekwa tena ya kisasa kwa kipindi hicho

7. Nyerere hakukuta chuo chochote cha elimu ya juu, akaweka vyuo kama SUA, UDSM, IFM na zaid

8. Nyerere hakukuta ndege za taifa la Tanzania au Tanganyika, lakin mpaka anastaafu tulikuwa na dege 9 zinazoweza kuruka kwenda popote,

9. Nyerere hakukuta wasomi wa kutosha kwanza akaanza kuwaandaa wasomi wa kuweza kushirikiana naye,
10. Vivuko kama cha kwenda kigamboni kile kilichozama mwaka 1974 na kingine kilichopelekwa na jeshi vyote vililetwa na Nyerere,
11. Viwanda hatukuwa navyo, lakin anastaafu tuna viwanda 401, mpaka cha radio ya National, na Cha baskeli Swala
Hatukatai mapungufu yake lakin kazi kaifanya ambayo mmekuja kuharibu ninyi kina mkapa na kikwete

12. Napata tabu sana pale Nyerere anavyolinganishwa na watu wasiokuwa na mchango katika Tanzania na bara la Africa kwa ujumla,

13. Nyerere kajenga watanzania kuwa pamoja na kuheshimiana, mbali zaid barabara unazoona 80% zimetengenezwa wakati bwana huyo alikuwa rais, japo hazikuwa Tarmac ila ziliunganisha wilaya na wilaya, mikoa na mikoa,

14. Nyerere ambaye aliwayumbisha mataifa makubwa Marekani, China na Urusi,

15. Viwanja vyote vya mpira ambavyo CCM wamejimilikisha kwa ujanja nchi nzima ni Nyerere kavijenga

16 Hitachi yetu ya crude oil pale kigamboni ambayo inamilikiwa na Tanzania,Zambia na Malawi ni nguvu ya mzee huyo inatumika hadi Leo hii (TIPER)


anasema Eyce, Kwa maoni yangu binafsi bila ya kuegemea upande wowote...

Hata mimi ninaweza kuwa na baadhi ya tabia kama za Nyerere lakini haihalalishi kunilinganisha naye..
Magufuli hayupo karibu hata kidogo na uwezo binafsi wala mambo aliyoyafanya Nyerere

Nyerere anatofautiana sana na jamaa zenu japo wanaeza kufanana viashiria kibinadamu tu.. Na sehemu kubwa ni zifuatazo

1. Diplomasia
2. Filosofia
3. Hali ya ubinafsi
4. Upendo juu ya nchi
5. Uendelezaji wa umoja pasipo kujali makabila , Kanda au dini ya mtu..

Mwisho wa siku .hao jamaa zenu na Nyerere ni INCOMPARABLE
 
1. Nyingi ya hizo shule 200+ za sekondari alizoziacha alizipora kutoka taasisi za kidini na kuzifanya za umma (kutsifisha), huitaji kuwa jiniazi ili uweze kufanya hivyo
2. ndani ya miaka 24 ya utawala kupunguza idadi ya wasiojua kusoma tokea 96 hadi watu 42 kati ya watu 100 (i highly doubt those numbers) ni very poor performance!
3. kwenye kujenge electrical power plants na power transmission lines ni kweli hakuna kama nyerere
4. alitawala kwa zaidi ya miaka 20!! na aliondoka baada ya sera zake kwenda kombo, kama ujamaa ungefanikiwa basi angetawala maisha yake yote, he was quite an authoritarian!
5. nothing special about that! hata wewe ungekua rais hilo lingetokea
6. reli ya tazara ilikua ni msaada wa serikali ya china, ilikua fadhira kwasababu nyerere alikua tayari kukwaruzana na nchi za maghalibi na kuitumbukiza nchi yake kwenye dhiki ili kumtetea china kwenye ulingo wa kimataifa
7. UDSM ilianzishwa 1961 kama affiliate colloge ya University of London, hivyo ujenzi wake uliasisiwa na mkoloni
8. Shirika la ndege was a poor investment then (watu walikua na mahitaji mengi ya msingi kuliko ndege) , and a certain someone is repeating the same mistake!
9. wasomi!! nyerere aliasisi mfumo ambao wasomi wanakua chini ya mambumbumbu ambao yeye anaweza kuwa control kirahisi, wengi wa wasomi waliothubutu "kuutumia" usomi wao walikiona cha moto, + sehemu kubwa ya elimu ilikua ni propaganda tupu (inawezekana ni miongoni mwa push factors za kutaifisha shule, ili aweze ku control watu wanafundishwa nini, binafsi nimeimbishwa nyimbo za mchakamchaka zilizo jaa upotoshaji na vijembe kwa mahasimu wa nyerere )
10. Hakuna kiwanda cha maana alichojenga, vingi aliwanyang'anya wafanya biashara wengi wao wenye asili ya asia kwa kuwatuhumu kuwa wanyonyaji, lakini mungu akaamua kumwonesha kuwa dhulma hailipi, karibu viwanda vyote vilikufa kibudu
12. unapata taabu kwasababu umehubiriwa propaganda na umezihifadhi moyoni mwako kwamba ndio ukweli halisi
13. umoja wa kitaifa, HIS GREATEST ACHIEVEMENT, no one can take that from him!
14. kiburi chake cha kutunishiana misuli na mataifa makubwa kilifanya watanganyika waishi kama wako jehanamu (hakujali maslahi ya nchi katika hili)
15. this is laughable
16. TIPER is dead!!! what you see is a shadow of it's former self

NB. Magufuri is worse than Nyerere, kama angelikua rais wa kwanza wakati nchi ikiwa changa, bila shaka leo tungekua na hali sawa na nchi nyingine za africa zenye madikteta wa maisha

## no hard feelings against mwalimu though, but the never ending glorification of him sickens me!
 
1. Nyingi ya hizo shule 200+ za sekondari alizoziacha alizipora kutoka taasisi za kidini na kuzifanya za umma (kutsifisha), huitaji kuwa jiniazi ili uweze kufanya hivyo
2. ndani ya miaka 24 ya utawala kupunguza idadi ya wasiojua kusoma tokea 96 hadi watu 42 kati ya watu 100 (i highly doubt those numbers) ni very poor performance!
3. kwenye kujenge electrical power plants na power transmission lines ni kweli hakuna kama nyerere
4. alitawala kwa zaidi ya miaka 20!! na aliondoka baada ya sera zake kwenda kombo, kama ujamaa ungefanikiwa basi angetawala maisha yake yote, he was quite an authoritarian!
5. nothing special about that! hata wewe ungekua rais hilo lingetokea
6. reli ya tazara ilikua ni msaada wa serikali ya china, ilikua fadhira kwasababu nyerere alikua tayari kukwaruzana na nchi za maghalibi na kuitumbukiza nchi yake kwenye dhiki ili kumtetea china kwenye ulingo wa kimataifa
7. UDSM ilianzishwa 1961 kama affiliate colloge ya University of London, hivyo ujenzi wake uliasisiwa na mkoloni
8. Shirika la ndege was a poor investment then (watu walikua na mahitaji mengi ya msingi kuliko ndege) , and a certain someone is repeating the same mistake!
9. wasomi!! nyerere aliasisi mfumo ambao wasomi wanakua chini ya mambumbumbu ambao yeye anaweza kuwa control kirahisi, wengi wa wasomi waliothubutu "kuutumia" usomi wao walikiona cha moto, + sehemu kubwa ya elimu ilikua ni propaganda tupu (inawezekana ni miongoni mwa push factors za kutaifisha shule, ili aweze ku control watu wanafundishwa nini, binafsi nimeimbishwa nyimbo za mchakamchaka zilizo jaa upotoshaji na vijembe kwa mahasimu wa nyerere )
10. Hakuna kiwanda cha maana alichojenga, vingi aliwanyang'anya wafanya biashara wengi wao wenye asili ya asia kwa kuwatuhumu kuwa wanyonyaji, lakini mungu akaamua kumwonesha kuwa dhulma hailipi, karibu viwanda vyote vilikufa kibudu
12. unapata taabu kwasababu umehubiriwa propaganda na umezihifadhi moyoni mwako kwamba ndio ukweli halisi
13. umoja wa kitaifa, HIS GREATEST ACHIEVEMENT, no one can take that from him!
14. kiburi chake cha kutunishiana misuli na mataifa makubwa kilifanya watanganyika waishi kama wako jehanamu (hakujali maslahi ya nchi katika hili)
15. this is laughable
16. TIPER is dead!!! what you see is a shadow of it's former self

NB. Magufuri is worse than Nyerere, kama angelikua rais wa kwanza wakati nchi ikiwa changa, bila shaka leo tungekua na hali sawa na nchi nyingine za africa zenye madikteta wa maisha

## no hard feelings against mwalimu though, but the never ending glorification of him sickens me!
Tutafakari hili:
Mzungu aliyetawala Tanganyika, Mjerumani 1885-1918 na Mwingereza 1918-1961.Kuna miaka 76 ya Utawala wa Wazungu Tanganyika.Nikisema utawala nina maana ya Serikali, Bunge,Mahakama,Jeshi n.k
Je, hawa waliacha nini baada ya Uhuru?
1.Kufikia Mwaka 1961 kulikuwa na Viwanda vikubwa viwili Tanganyika Packers , TPC na viwanda vidogo vya mkonge vya Amboni.
2.Kufikia Mwaka 1961 palikuwa na Madaktari 7 Waafrika nchini Tanganyika, Mainjinia wawili wa Kitanganyika na mmoja alifariki mara baada ya Uhuru.Hayo ni kwa Uchache.
Sasa kuanzia 1961- November 5,1985 ndiyo hayo yalioelezwa na mleta mada hii.Kama kuna mapungufu basi na yeye ni binadamu.
Je, Bw.Julius Nyerere hakuthubutu?Pamoja na mapungufu ya kibinadamu aliokuwa nayo.He tried.
Mwisho kuna kitu uwiano wa kuangalia.Miaka 76 ya Mzungu na miaka 23 ya Mzanaki!
Aluta continua...
 
Tutafakari hili:
Mzungu aliyetawala Tanganyika, Mjerumani 1885-1918 na Mwingereza 1918-1961.Kuna miaka 76 ya Utawala wa Wazungu Tanganyika.Nikisema utawala nina maana ya Serikali, Bunge,Mahakama,Jeshi n.k
Je, hawa waliacha nini baada ya Uhuru?
1.Kufikia Mwaka 1961 kulikuwa na Viwanda vikubwa viwili Tanganyika Packers , TPC na viwanda vidogo vya mkonge vya Amboni.
2.Kufikia Mwaka 1961 palikuwa na Madaktari 7 Waafrika nchini Tanganyika, Mainjinia wawili wa Kitanganyika na mmoja alifariki mara baada ya Uhuru.Hayo ni kwa Uchache.
Sasa kuanzia 1961- November 5,1985 ndiyo hayo yalioelezwa na mleta mada hii.Kama kuna mapungufu basi na yeye ni binadamu.
Je, Bw.Julius Nyerere hakuthubutu?Pamoja na mapungufu ya kibinadamu aliokuwa nayo.He tried.
Mwisho kuna kitu uwiano wa kuangalia.Miaka 76 ya Mzungu na miaka 23 ya Mzanaki!
Aluta continua...
Hakika umesema
 
1. Nyingi ya hizo shule 200+ za sekondari alizoziacha alizipora kutoka taasisi za kidini na kuzifanya za umma (kutsifisha), huitaji kuwa jiniazi ili uweze kufanya hivyo
2. ndani ya miaka 24 ya utawala kupunguza idadi ya wasiojua kusoma tokea 96 hadi watu 42 kati ya watu 100 (i highly doubt those numbers) ni very poor performance!
3. kwenye kujenge electrical power plants na power transmission lines ni kweli hakuna kama nyerere
4. alitawala kwa zaidi ya miaka 20!! na aliondoka baada ya sera zake kwenda kombo, kama ujamaa ungefanikiwa basi angetawala maisha yake yote, he was quite an authoritarian!
5. nothing special about that! hata wewe ungekua rais hilo lingetokea
6. reli ya tazara ilikua ni msaada wa serikali ya china, ilikua fadhira kwasababu nyerere alikua tayari kukwaruzana na nchi za maghalibi na kuitumbukiza nchi yake kwenye dhiki ili kumtetea china kwenye ulingo wa kimataifa
7. UDSM ilianzishwa 1961 kama affiliate colloge ya University of London, hivyo ujenzi wake uliasisiwa na mkoloni
8. Shirika la ndege was a poor investment then (watu walikua na mahitaji mengi ya msingi kuliko ndege) , and a certain someone is repeating the same mistake!
9. wasomi!! nyerere aliasisi mfumo ambao wasomi wanakua chini ya mambumbumbu ambao yeye anaweza kuwa control kirahisi, wengi wa wasomi waliothubutu "kuutumia" usomi wao walikiona cha moto, + sehemu kubwa ya elimu ilikua ni propaganda tupu (inawezekana ni miongoni mwa push factors za kutaifisha shule, ili aweze ku control watu wanafundishwa nini, binafsi nimeimbishwa nyimbo za mchakamchaka zilizo jaa upotoshaji na vijembe kwa mahasimu wa nyerere )
10. Hakuna kiwanda cha maana alichojenga, vingi aliwanyang'anya wafanya biashara wengi wao wenye asili ya asia kwa kuwatuhumu kuwa wanyonyaji, lakini mungu akaamua kumwonesha kuwa dhulma hailipi, karibu viwanda vyote vilikufa kibudu
12. unapata taabu kwasababu umehubiriwa propaganda na umezihifadhi moyoni mwako kwamba ndio ukweli halisi
13. umoja wa kitaifa, HIS GREATEST ACHIEVEMENT, no one can take that from him!
14. kiburi chake cha kutunishiana misuli na mataifa makubwa kilifanya watanganyika waishi kama wako jehanamu (hakujali maslahi ya nchi katika hili)
15. this is laughable
16. TIPER is dead!!! what you see is a shadow of it's former self

NB. Magufuri is worse than Nyerere, kama angelikua rais wa kwanza wakati nchi ikiwa changa, bila shaka leo tungekua na hali sawa na nchi nyingine za africa zenye madikteta wa maisha

## no hard feelings against mwalimu though, but the never ending glorification of him sickens me!
Tiper imeuliwa na nani?
 
Ukibahatika kusikiliza hotuba ya miaka 10 ya uhuru utaona tofauti ya Nyerere, wakoloni na watawala wa sasa kuhusu ujinga alipunguza kwa zaidi ya hiyo asilimia unayoitaja kumbuka kuna kipindi tulikuwa miongoni mwa mataifa tunayoongoza kufuta ujinga lakini mwambie na Tundu Lissu pia amuheshimu Nyerere aache kumtolea maneno ya dhiaka
 
Ukibahatika kusikiliza hotuba ya miaka 10 ya uhuru utaona tofauti ya Nyerere, wakoloni na watawala wa sasa kuhusu ujinga alipunguza kwa zaidi ya hiyo asilimia unayoitaja kumbuka kuna kipindi tulikuwa miongoni mwa mataifa tunayoongoza kufuta ujinga lakini mwambie na Tundu Lissu pia amuheshimu Nyerere aache kumtolea maneno ya dhiaka
Kabisa
 
Back
Top Bottom