BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,114
- 2,799
Wakuu naomba mrejeeTitle ya uzi Wangu huu mfupi sana.
Binafsi nahitaji kuonana Na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa muda muafaka na kwa uhakika zaidi juu ya ratiba zake za kikazi kabla sijafika .
Naogopa usumbufu wa kufika Ofisini kwake na kupewa jibu la kutokuwepo kwake. Nia yangu ni kuonana naye ana kwa ana.
Kwa watu wenye uzoefu naomba ushauri wenu wakuu kabla sijafika Dodoma nikitokea huku nilipo pembezoni mwa Nchi.
Binafsi nahitaji kuonana Na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa muda muafaka na kwa uhakika zaidi juu ya ratiba zake za kikazi kabla sijafika .
Naogopa usumbufu wa kufika Ofisini kwake na kupewa jibu la kutokuwepo kwake. Nia yangu ni kuonana naye ana kwa ana.
Kwa watu wenye uzoefu naomba ushauri wenu wakuu kabla sijafika Dodoma nikitokea huku nilipo pembezoni mwa Nchi.