Kwa hiyo were na kadigrii chako GPA ya 2.0 umeona ni was muhimu kuliko hiyo Mwalimu wa diploma mwenye uzoefu wa miaka 10.nimesikia kwamba walimu wa masomo ya sanaa hawataajiriwa. badala ya kuwaacha watu na digrii zao mtaani, kwanini walimu wa diploma na grade A wasipunguzwe kupata nafasi ya wenye digrii?.
Angepunguwa hata dingi yake angepiga kelele sana.nawaza kimyakimya,
mawazo yako yanatoka katika sayari ipi mkuu??
Ili na hao wenye diploma wakasote mtaan???nimesikia kwamba walimu wa masomo ya sanaa hawataajiriwa. badala ya kuwaacha watu na digrii zao mtaani, kwanini walimu wa diploma na grade A wasipunguzwe kupata nafasi ya wenye digrii?.
Wakipunguzwa anakuwa wa kwanza kulalamika kuwa serikali ni ya kidictatorKwa hiyo were na kadigrii chako GPA ya 2.0 umeona ni was muhimu kuliko hiyo Mwalimu wa diploma mwenye uzoefu wa miaka 10.
Ndiyo wasomi wa nchi yetu.ili iweje?
Alafu time kula kwako tukipunguzwanimesikia kwamba walimu wa masomo ya sanaa hawataajiriwa. badala ya kuwaacha watu na digrii zao mtaani, kwanini walimu wa diploma na grade A wasipunguzwe kupata nafasi ya wenye digrii?.
haipatani na akili kumuacha mwenye digrii na kumkumbatia diploma na grade A kisa uzoefu. uzoefu wa kidiploma na kigrade A. dunia itatushangaa.Kwa hiyo were na kadigrii chako GPA ya 2.0 umeona ni was muhimu kuliko hiyo Mwalimu wa diploma mwenye uzoefu wa miaka 10.
haipatani na akili kumuacha mwenye digrii na kumkumbatia diploma na grade A kisa uzoefu. uzoefu wa kidiploma na kigrade A. dunia itatushangaa.
ili kilicho bora kifanye kazi. mwalimu aliyefaulu 6 na chuo tunategemea atakuwa bora kuliko wa diploma na grade A.[/QUOTE
hakuna lolote sema njaa inakusumbua
Haya bossit's not personal. ni kwa maslahi ya taifa.