Hapa nawaza tu...ni vitu ambavyo vinawezekana kufanyika kwani kwa sasa lengo la CCM litakuwa kupunguza nguvu ya upinzani na kuwagawa.
Hivi ikitokea JK akampa Zitto au mmojawapo wa wabunge machachari wa Chadema (nikiangalia hapa naona uwezekano uko kwa Zitto zaidi) uwaziri, itakuwaje? Maswali ninayofikiria ni je rais anaruhusiwa kumchagua mpinzani?? kama anaweza, akifanya hivyo mwaka huu, atakayechaguliwa akubali au asikubali?? na je akikubali nini impact yake kwa upinzani bungeni na kwingineko???
Naona ni muhimu kuwaza kabla hayajatokea, tusiwa-underestimate CCM, they can be very strategic when they need to.....
Hivi ikitokea JK akampa Zitto au mmojawapo wa wabunge machachari wa Chadema (nikiangalia hapa naona uwezekano uko kwa Zitto zaidi) uwaziri, itakuwaje? Maswali ninayofikiria ni je rais anaruhusiwa kumchagua mpinzani?? kama anaweza, akifanya hivyo mwaka huu, atakayechaguliwa akubali au asikubali?? na je akikubali nini impact yake kwa upinzani bungeni na kwingineko???
Naona ni muhimu kuwaza kabla hayajatokea, tusiwa-underestimate CCM, they can be very strategic when they need to.....