MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Najaribu kufikiria,Rais wetu wakati akiwa Waziri katika serakali zilizowahi kupita hakua na maadui hata kidogo. Hakua na maadui serikalini wala upinzani, Mzee wetu alikua akitekeleza majukumu mengi na yawezekana ndio kipindi alikua na marafiki wengi kuliko wajati wowote ule.
Nataka kusema nini, baada ya kuingia kwenye kiti ameteua serikali iliyojaa watu wengi ambao wao hawakupewa nsfasi kabisa awamu zilizopita ima kwa sababu ya kutomudu majukumu, visasi au kwa aina flani ya tabia zao. Hawa watu inawezekana kwa sasa wamepewa mamlaka na wameingia kwa hasira na visasi wakiwa na majeraha ya wamu zilizizopita, hawasemi ukweli kulisaidia taifa badala yake wao wanaangalia fursa walitonayo kwa sababu nao leo sana nafasi. Hawa watu wanaweza kutuingiza katika matatizo makubwa sana.
Haiwezekani mwanazuoni mmoja ambaye kwa sasa ni afisa mkubwa katika awamu hii, wakati wa awamu ya NNE alizunguka nchi akisema kua katiba mpya haiepukiki kwa namna yeyote ile, leo hii anasema hakuna haja ya katiba mpya? Tena kwa sasa ndiye msimamizi wa himaya ya kurekebisha na kutafsiri katiba ya nchi anakataa kata Kata. Huyu mtu sio mzuri na inawezekana nae ndiye kinara wa sasa kumshauri mkuu aongeze miaka miwili kufikia saba kwenye muhula wake badala ya miaka mitano.
Nataka kuchelea kumlaumu Rais wetu badala yake niwageuzie kibao watendaji wake wanaomzunguka, yawezekana mambo kutokukaa sawa wakati mwingine ni kushuriwa tofauti na hawa watendaji wanaomzunguka.
Ningeshauri kabia tutazame hawa watendaji watoa ushauri huenda ndio chanzo cha matatizo mengi. Mbona Mh Mkuu alikua kiongozi awamu zilizopita hakulaumiwa sana?Why now?
Nataka kusema nini, baada ya kuingia kwenye kiti ameteua serikali iliyojaa watu wengi ambao wao hawakupewa nsfasi kabisa awamu zilizopita ima kwa sababu ya kutomudu majukumu, visasi au kwa aina flani ya tabia zao. Hawa watu inawezekana kwa sasa wamepewa mamlaka na wameingia kwa hasira na visasi wakiwa na majeraha ya wamu zilizizopita, hawasemi ukweli kulisaidia taifa badala yake wao wanaangalia fursa walitonayo kwa sababu nao leo sana nafasi. Hawa watu wanaweza kutuingiza katika matatizo makubwa sana.
Haiwezekani mwanazuoni mmoja ambaye kwa sasa ni afisa mkubwa katika awamu hii, wakati wa awamu ya NNE alizunguka nchi akisema kua katiba mpya haiepukiki kwa namna yeyote ile, leo hii anasema hakuna haja ya katiba mpya? Tena kwa sasa ndiye msimamizi wa himaya ya kurekebisha na kutafsiri katiba ya nchi anakataa kata Kata. Huyu mtu sio mzuri na inawezekana nae ndiye kinara wa sasa kumshauri mkuu aongeze miaka miwili kufikia saba kwenye muhula wake badala ya miaka mitano.
Nataka kuchelea kumlaumu Rais wetu badala yake niwageuzie kibao watendaji wake wanaomzunguka, yawezekana mambo kutokukaa sawa wakati mwingine ni kushuriwa tofauti na hawa watendaji wanaomzunguka.
Ningeshauri kabia tutazame hawa watendaji watoa ushauri huenda ndio chanzo cha matatizo mengi. Mbona Mh Mkuu alikua kiongozi awamu zilizopita hakulaumiwa sana?Why now?