Mathayo Fungo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 319
- 510
1.Angeshasaini fasta Wachina waanze ujenzi wa Bandari na kuzuia upanuzi wa Bandari zote katika ukanda wa Tanzania na kuua ya Dar, Tanga, Mtwara, Mafia etc?
2.Angeshasaini Wachina wajenge viwanda na kujimilikisha eneo la viwanda Bagamoyo mpaka mwaka watakaoamua wenyewe kutangaza kuwa wamepata faida?
3.Angeshasaini mkataba Serikali isihusike na kampuni zote zitakazowekeza kwenye eneo la viwanda Bagamoyo na uamuzi na umiliki uwe kwa Wachina kwa miaka 99?
4.Angeshasaini fasta mkataba unaowapa wachina haki zote za kupanga bei, kusimamia mapato, kuandaa hesabu na kila kitu wakiwa wao na kuweka Bendera yao kwenye Bandari ya Bagamoyo?
Hatari sana (in Sheikh Kipozeo's voice).
[/SIZE][/B]
2.Angeshasaini Wachina wajenge viwanda na kujimilikisha eneo la viwanda Bagamoyo mpaka mwaka watakaoamua wenyewe kutangaza kuwa wamepata faida?
3.Angeshasaini mkataba Serikali isihusike na kampuni zote zitakazowekeza kwenye eneo la viwanda Bagamoyo na uamuzi na umiliki uwe kwa Wachina kwa miaka 99?
4.Angeshasaini fasta mkataba unaowapa wachina haki zote za kupanga bei, kusimamia mapato, kuandaa hesabu na kila kitu wakiwa wao na kuweka Bendera yao kwenye Bandari ya Bagamoyo?
Hatari sana (in Sheikh Kipozeo's voice).