Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Ndugu zangu, hii nchi yetu sijui imejengwa kwenye maadili gani? Yaani kukosekana kwa mafunzo ya jando na unyago wanawake hata wapate mwanaume wa aina gani lakini wanachepuka tu.
Una Lea ipasavyo. Unapiga mzigo ipasavyo, lakini kila siku wanaume wanalia.
Nashauri taifa liwe na mfumo wa mabikira ili mtu atakaye mbikiri ndo anakuwa mke wake. Labda ulagai utapungua kwenye mahusiano.
Ukioa mwanamke mwenye mtoto unachapiwa na mwenye mtoto n.k
Nawasilisha.
Una Lea ipasavyo. Unapiga mzigo ipasavyo, lakini kila siku wanaume wanalia.
Nashauri taifa liwe na mfumo wa mabikira ili mtu atakaye mbikiri ndo anakuwa mke wake. Labda ulagai utapungua kwenye mahusiano.
Ukioa mwanamke mwenye mtoto unachapiwa na mwenye mtoto n.k
Nawasilisha.