njeeseka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,371
- 976
Najiuliza hivi mtu akituhumiwa halafu akatunisha misuli dhidi ya mwenyekiti wa chama si ni kama anajiandaa eidha kuhama au kuanzisha chama chake.
Nakumbuka enzi za MM, MM1, MM3 kuna mtu alivuliwa uanachama kisa kurukia chakula cha mwenyekiti.
Nawaza tu hili lililopo si ndio linakoelekea?
Ningeweza kumshauri mmojawao ningesema BORA UKAE KIMYAAA...UKO..UKALALEEEE..
Nakumbuka enzi za MM, MM1, MM3 kuna mtu alivuliwa uanachama kisa kurukia chakula cha mwenyekiti.
Nawaza tu hili lililopo si ndio linakoelekea?
Ningeweza kumshauri mmojawao ningesema BORA UKAE KIMYAAA...UKO..UKALALEEEE..