Nawaza kuna mtu ananyang'anywa kadi ya chama

njeeseka

JF-Expert Member
Oct 19, 2012
1,371
976
Najiuliza hivi mtu akituhumiwa halafu akatunisha misuli dhidi ya mwenyekiti wa chama si ni kama anajiandaa eidha kuhama au kuanzisha chama chake.
Nakumbuka enzi za MM, MM1, MM3 kuna mtu alivuliwa uanachama kisa kurukia chakula cha mwenyekiti.
Nawaza tu hili lililopo si ndio linakoelekea?
Ningeweza kumshauri mmojawao ningesema BORA UKAE KIMYAAA...UKO..UKALALEEEE..
 
Wako wa kunikamata ila wakunifunga Hakuna.



Nanukuu : Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu sasa tatizo liko wapi kwangu?



Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye boss huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign agreement without a security.



By Chenge
 
Wako wa kunikamata ila wakunifunga Hakuna.



Nanukuu : Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu sasa tatizo liko wapi kwangu?



Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye boss huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign agreement without a security.



By Chenge
Chenge Hana guts za kusema hayo, labda mtuwekee clip
 
Kama wale jamaa Wawili wamekingiwa kifua ni upumbavu kuhangaika na kina Chenge kwenye kashfa hizi!!
 
Wako wa kunikamata ila wakunifunga Hakuna.



Nanukuu : Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu sasa tatizo liko wapi kwangu?



Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye boss huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign agreement without a security.



By Chenge



Mwanaume huyo!!
Sio fulani muogopa wazungu
 
Nenda kwenye hansad za bunge Jan msukuma katibua tweet Ya mzee wa dili kubwa kubwa
Izi vita za wasukuma watamalizana Kisukuma zaidi.
Andrew Chenge= msukuma
Mh. Magufuli =MSUKUMA
Ngereja = msukuma
Joseph Kasheku =MSUKUMA
Kwa iyo watamalizana kisukuma zaidi
 
Chenge Hana guts za kusema hayo, labda mtuwekee clip
Unamfahamu vizuri Mtemi wetu wa Ntuzu wewe? Kaulize vizuri watakusimulia!! Wakijidai tu, Chief wetu anabadili lugha haongei Kiswahili tena tuone kama watamwelewa Mtemi wetu!! Tumemtuma sisi atutafutie pesa na kuzileta Ntuzu full stop!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom