Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,720 21,779 Dec 7, 2015 #1 Biblia inasema kilajambo kweli na wakati wake ukisoma na kuangalia yanayotokea utaelewa namaanisha nini. Natamani Angegombea 2005/2010. Hatuna jinsi tuzidi kumwombea Mungu mafanikio na hasa katiba mpya.
Biblia inasema kilajambo kweli na wakati wake ukisoma na kuangalia yanayotokea utaelewa namaanisha nini. Natamani Angegombea 2005/2010. Hatuna jinsi tuzidi kumwombea Mungu mafanikio na hasa katiba mpya.
H Hwasha JF-Expert Member Aug 22, 2015 1,271 720 Dec 7, 2015 #2 Alimwachia Mh. Edward Lowasa na timu yake ya ushindi nani miongoni mwao atuongoze,nasi tukakubali kwa hiari yetu.
Alimwachia Mh. Edward Lowasa na timu yake ya ushindi nani miongoni mwao atuongoze,nasi tukakubali kwa hiari yetu.