Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
huyu naona ameamua kujikipuaMmie nimeamua rasmi kuungana na bakwata kwa kupinga sensa mpaka kipengele cha dini kiingizwe kwa sababu nazani ni haki yangu kama wengine kuamua hivyo ili na sisi tujue tuko wangapi. baada ya hapo tuweze kujua tunahitaji kuongeza mashule mangapi na mahosipitali ya kuwatibu wakatoliki na watanzania wote kwa ujumla