Wabunge wengi wa CCM wamo bungeni kupitia Mlingotini na wala sio kwa merits!, wanafanya mambo kwa maelekezo ya watawala na wakuu wa chama chao ambao nao generation gap inawasumbua! Hivyo tusitarajie mapya kutoka kwa wabunge wa CCM, wao chama ndiyo kila kitu! na siyo masilahi ya nchi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.